Mtanzania Saimon Msuva Ametambulishwa Rasmi Kwenye Club Yake Mpya Ya Difaa Al Jadida Ya Nchni Morocco Kwa Mkataba Wa Miaka Mitatu Kuitumikia Club Hiyo..
(y) KILA LAKHEL MSUVA
#niposimba
#breaknewz Bwana Harusi Amewaacha Watu Hoi Harusini Baada Ya Kupanik Pale Wadogo Zake Wakiume Walipoenda Kumtolea Zawadi Huku Wakisindikizwa Na Wimbo Wa Msanii Wa Singeli Maarufu Kama Manfongo Wimbo Ukijulikana Kama "HAINAGA USHEMEJI TUNAKULA" Tehtehtehteh (Y)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.