naona unakosa hoja nakuuliza ikiwa sera ya upinzan ilikuwa nikupinga ufisadi na kupambana nawatu wanaoifilisi nchi yetu akiwemo lowasa leo unabadil sera eti shida ni system na kuwa alikuwa fisadi na mfilis wa taifa letu jana leo amehsmia kwenu eti tayar kawa msafi nyie damu yayesu?kama...
acha kuhoroja weka hoja na usitoe povu sijaona ulichokisema kama siyo hasira tu, yaweza kuwa wewe hata hiyo division five huna may be una zero kama vipi leta cv yako nami niweke yangu
nadhan hoja hiz siyo za kutujenga hata kidogo leta hoja za kimaendeleo nyie mnakurupuka kwa vijiwe vya kahawa afu huingii kwa ndani mimi bariadi naijua vizur naninajua magufur anakubarika zaidi bariadi kuriko huyo wakwenu ambae hawez hata kutembea fisadi mnaejidai kumsafisha utadhan nyie mmekuwa...
asante kaka umemwelewesha akumbuke pia kuwa lowasa alisemwa sana kwenye frontpage za magazeti juu ya kuhamia chadema na leo iko hivyo sasa badala yakukurupuka na kuleta wazo lakumshitaki huyu mhariri ajitahidi kuvumilia timewill tell
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.