haingii akilini uombe kazi kanisani halafu hujui hata kanisani kunafanyika shughuli gani. Hii ni aibu kubwa kwa bunge letu. Inaonyesha ni jinsi gani ambavyo ni viazi. Nadhani ni muda muhafaka sasa nafasi za kuwakilisha nchi zewe zinapitia michakato dhabit na tuondokane na ile zana ya huyu ni...
wadau kwanza naomba kujitambusha kwenu kwani mimi ni member mpya. Pili nachukua fursa hii kuwapongez wote mliotumia muda na akili zenu kUfuatilia na kuchangia kwa maono ya fikra chanya kuhusu swala zima la uchuguzi wa mwaka huu. Ni ukweli usiopingika kwamba JF imekua chachu kubwan sana ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.