Majirani zetu hawahitani maombi ya watu wanafiki kama Watanzania. Hamkuwahi kuona Wakirigenzi wakifukuzwa kazi kisa kukataa kumtangaza mbunge wa ccm na kutenda haki kwa aliyeshinda? Hayo maombi yako yatafaa nini?
Uchaguzi wa znz kufutwa kinyemela hili nalo mlilikemea kwa damu zenu? Wenzenu...
Kenya wanakatana mapanga kwasababu hawapendi ujinga. Bongo maneno mengi na uoga mwingi. Ungese anaoufanya liplipmbavmbav ingekuwa kenya alishakatwa kichwa zamani.
Bora iwe hivyo ili watanzania muache kujifanya mnaweza kuwasaidia wapinzani wa serikali nyingine kushika madaraka ilhali kwenu mnawanyanyasa.
Hapo anakomolewa mtu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.