na pia k ni zilezile kuna ulimbukeni wa kijinga sana, hizi mambo watu wanaoelewa wananyamaza kimya wanawachora watu wengne wanavyopiga kelele sijui nimetumia karibu laki kwa demu hata sijala mzigo wakati hiyo hela angeenda kwa huyo malaya angepata huduma nzuri na chenji ya kutosha
nami nilikuwaa nawaza hhivyohivyo maana inauma sana pale unapomkosa mtoto mzuri kisa ukapuku, ila baada ya kutimiza hitaji la moyo wangu nimeachana na hizo mambo
Haya maisha hayana fomula aisee. Nakumbuka enzi za ujana wangu nilikuwa natoka katika familia masikini kiasi kwamba maisha yalikuwa ya tabu sana hata wanawake warembo wakawa wananipitia mbali, kwani kila nikirusha ndoano napigwa bonge la radi.
Mwingine anaweza akanikubalia ila sasa zile gharama...
Hii imekaaje wadau, suala la wakuu wa idara kama uhasibu, ugavi,nk wana profesional bodi zao kama PPSPTB, NBAA,ERB nk na bodi hi zimeanzishwa kisheria na ukishakuwa certified na hizi bodi kuna semina wanatoa kila mwaka ili kukumbushia masuala ya profesional yako na kukuza profesional yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.