Nani amjuae Mkurugenzi wa bodi ya mikopo? Amwambie kuna vijana Wakitanzania wanaosoma Algeria wana hali ngumu sana kwa kucheleweshewa mikopo yao. Si vyema kuwapa shida watoto wetu kiasi hiki ilihali kampeni zinaendeshwa kwa mamilioni ya fedha.
Hata Magufuli alisema anashangaa kuona wanafunzi...
Nionavyo mimi majeraha ya
uchaguzi inamaanisha hali ya
kutoridhika na matokeo ya
uchaguzi, mtu au kundi fulani
linadhani kuwa halijatendewa
haki kulingana na sababu
zinazoainishwa na kundi hilo.
Kutibu majeraha ya uchaguzi
mkuu 2010 itawezekana
endapo kitafanya kazi yake
kwa ukamilifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.