Ni utamaduni tu au sehemu ya ukarimu wetu Wanaume kama sio kimbelemble chetu. Lakini ukimfanyia ukauzu (sikushauri ufanye) utashangaa anapata nauli au hata Pesa ya kukodi UBER kurudi aliko toka. Pia nahisi huwa na kipimo cha upendo wa uhusiano wa Wallet yako na mahitaji yake tarajiwa endapo...
Umejitahidi kunena kweli yenye mantiki, mafanikio au kushindwa ni zao la matokeo ya maandalizi na mipango binafsi. Ifahamike kuwa neno KUSHINDWA limetumika kama uzoefu wa kujaribu mambo kwa njia tofauti tofauti Wagunduzi wa Vitu vingi tunavyo tumia leo walipitia KUSHINDWA kuliko tunavyo fikiri...
Naomba niende kwenya mada moja kwa moja kwa kuwa mengi yamesha semwa na kuandikwa pia
1. Tatizo la Mahusiano /Mimba zisizo na Mpangilio wa maridhiano
Naona kuna tatizo kubwa katika suala la mahusiano ambao Mwanamke na Mwanamume hushiriki Tendo aidha bila kuchukua tahadhari au bila kujadili kwa...
Wahusika TANROADS Dar es salaam.
Juzi huko Wilayani Igunga Basi la City Boy liligongana uso kwa uso na Fuso ambapo hadi sasa Watu 12 wamethibitishwa kufariki Dunia, nimesoma chanzo ni mashimo katika eneo la ajali.
Leo asubuhi katika Barabara ya Pugu/Nyerere maeneo ya Posta/Majumba Sita...
Da Paulina seriously unauza Simu au kuna bidhaa nyingine iko coded kama Smartphone? Nashangaa hakuna description yoyote ya bidhaa ila kuna KARIBU KUUBWA ya pm? Mhhhhh
Kipindi flani huko nyuma miaka kadhaa nikiwa napita njia. Binafsi mara baada ya kusoma uzi wako nimepata maarifa mengi sana kuhusu jinsi utaratibu unavyotakiwa kufuatwa. Katika kujenga hoja unatakiwa kufahamu at least abcd za utaratibu kinzani, nilishawahi kuwaona FFU wana Vitambaa vyenye Rangi...
Hongera kwa kuamua kutumia Mtandao wa Kijamii kutafuta Kazi. Ushauri wa bure
1. Rekebisha kichwa cha Mada kisomeke Mwenye Kazi anipe Tafadhali
2. Lugha za mkato kama "plza" zinaweza kukufanya usipate Kazi kwa Watu makini.
3. Jaribu kueleza uzoefu wako katika baadhi ya Kazi ulizowahi kufanya au...
Kama Mzazi na Mlezi wa Mabinti naunga mkono hoja, inauma sana kuona Mkufunzi anatumia vibaya madaraka yake aliyopewa na umma badala ya kumjaza Binti Maarifa, Weledi, Kujitambua na uwezo wa kujitegemea anamgeuza Mbuzi wa Kafara.
Mapendekezo yangu
1. Anza kwa kuomba kila University au College...
Kwanza nakusamehe bure kwa kuanza kuropoka bila kutafakari, kumbuka hapa kila mtu anao uhuru wa kutoa mtazamo wake wa mawazo. Pili kwa mujibu wa jina lako kwa tasfri yangu binafsi naridhika na kila utakacho sema kwasbabu tayari unajieleza bayana.
Nimesoma makala iliyo andikwa hapo awali na ambae sasa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mteule kwa mtazamo wangu aliongea akiwa "open minded" kama ataendelea kuwa "open minded" anaweza kuisadia Serikali kufungua/kuendesha Kesi za Jinai na Madai zenye mantiki sio kukidhi matakwa ya Kisiasa au...
Kiongozi (Area Fifty One) Ibara ya 19 Kifungu 3 Maudhui yake ni kuhusu " UHURU WA KUABUDU" Sidhani kama hili ni tatizo kwa Watanzania wala sitaki kuamini hao Mawakili Wasomi wanaenda kuomba Haki ya Uhuru wa kuabudu ambao SIONI kizuizi chochote hapa Tanganyika ukipenda Tanzania Bara?
Ibara ya 19...
Kiongozi ulimaanisha hii tusome hii???
18. Kila mtu,
(a) anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake;
(b) anayo haki ya kutafuta, kupokea na kutoa habari bila kujali mipaka ya nchi;
(c) anao uhuru wa kufanya mawasiliano na haki ya kutoingiliwa katika mawasiliano yake, na;
(d) anayo haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.