Comred, Hayo ni maoni ya Tume. Kazi ambayo walipewa kama tume ndo hiyo yaani kukushanya maoni na kuya analyise habari ya matumizi ya maoni hayo ni yenu watanzania. Ni kama utafiti hivi utafiti unafanya na mapendekezo yanatolewa ni mazuri kiasi gani ama ni mabaya kiasi gani yana tekelezeka au...
Serikali angalia jambo hili usitafute mchawi kutoka mbali mchawi unaye hapo hapo ulipo kaa. Tazama, walimu waligoma ukawachapa ukasema warudi hataka madarasani vinginevyo utafuta ajira zao, wakaogopa, wakarudi haraka lakini mgomo wao ulibaki mioyoni mwao. Matokeo yake ndio haya. Taka usitake...
Ukisema udiwani utaonekana mwoga gombea ubunge upambane naye. Lakini nikwambie kitu ndugu yangu hizi no siasa tu hata wewe ukiwa mbunge utakutana na haya haya unayoyasema kwa wenzako.
Mmmh! Baadaye mtasema wawe na uwakilishi bungeni. Kiukweli masuala ya wazee yako chini ya DSW (dept of Social Wellfare) chini ya wizara ya Afya. Tosha kabisa.
Kaka, hiyo ndiyo maana halisi ya siasa. Siasa si halisi bali ni ushawishi kulingana na hali halisi iliyopo. Ni kama kwenye midaharo ya masheni (debate) ukiwa opposer ni lazima ushinde hata kama issue yenyewe sio kweli. Ndivyo ilivyo kwenye siasa.
Idara ya uhamiaji? Sidhani maana wahabeshi huingia bila kuomekana kutoka mpaka wa kenya mpaka wanafika mpaka wa nchi nyingine ya Malawi. Sasa kama hawa unaowataja wapo si wangewaona hata kabla ya kufika Tanga tu. Nchi hii bwana sijui ukoloni urudishwe? Maana ni kama tumeshindwa kujitawala hivi.
Najiuliza kama gesi ya songosongo au ya mtwara ingepatikana Moshi au Arusha ingepelekwa Dar? Maana huenda wenzetu wanajua namna ya kufikiri kuliko sisi haiingii akilini gesi ichimbwe mtwara ikatokee
Dar kwa lipi Bandari? Mtwara poa ipo miundo mbinu? Ipi? Ah! Inat
MMJ nakusifu maana uko sahihi na hawa wengine ni washabiki tu wa vyama achana nao tunakwenda kwa facts wala sio nani wanapiga kelele nyingi. Big up MMJ
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.