Search results

  1. M

    Hivi ni kweli kuna madaktari waliosain kurudi kazini halafu hawafanyi kazi?

    Zipo taarifa nyingi kiasi cha kutukanganya wananchi tunaoumia kutokana na mgomo wa madaktari!!! Ziko habari kwamba baadhi ya madaktari wanaendelea na mgomo wakati zipo habari kwamba wengine wamesaini kurudi kazini kuitikia agizo la waziri mkuu lakini baada ya kuaini wanaingia...
  2. M

    Kupindisha historia ni kujidanganya-ni tanganyika siyo tanzania inatimiza miaka 50 disemba 09 2011!!

    Kujaribu kuwafanya watanzania waamini kwamba Disemba 09, 2011 tunasherehekea miaka 50 tangu kupata uhuru ni kupindisha historia kwa maslahi ya nani????????? Ni nani tunajaribu kumdanganya kama si sisi wenyewe?????????? Mimi ninayeandika thread hii nilikuwepo usiku wa 09.12.1961 wakati bendera...
  3. M

    Nionacho miimi!

    Baada ya kusainiwa tarehe 01.12.2011 huo mswada wa sisiemu/kafu mbinu zile zile za kutumia UWT zitatumika na within no time katiba mpya hiyo hapo!!!!!!!! Kama wakati ule hakuna aliyekohoa leo nani atadiriki!!!!!!!!! JF tusiganganyane na maneno mengi ambayo ni ya simple minds kujadili watu bila...
  4. M

    Sakata la makali ya mgao wa umeme-mfichaficha maradhi kilio kitamfichua

    Utakuwa muujiza wa kipekee kama tatizo la umeme lililodumu zaidi ya miaka 6 litatatuliwa kwa wiki tatu!!!!!!!!!!!!!!! Watalindana lakini hatimaye kilio kitawafichua tu!!!!!!!!!!!!!! ****** na ngeleja wake ni wazao wa Rostam; wanangoja nini wakati mzizi umekwisha ng'oka???????????
  5. M

    Katiba mpya: Watoa maoni zanzibar wapiga mswada stop kubwa!!!!!!!!!!!!!

    Sikuamini masikio yangu niliposikiliza katika runinga ya TVZ mmoja wa wachangiaji akitoa maneno mazito sana kwa jazba akiuita mswada huo kuwa ni batili na kutoa tahadhari kwa wabunge wa Zbr katika bunge la muungano kwamba wakiupitisha mswada huo wasirudi ZBR!!!!!!!!!!!!!!??????????? Hapo...
  6. M

    Katiba mpya: Mbona kila kitu kiko wazi wanachong'ang'ania serikali ya ccm ni kipi?

    Kuna somo kubwa kwa watanzania kwa muswada uliopelekwa bungeni kuhusu hoja ya kuandika katiba mpya!!!!! Kwanza Kongamano la UDASA siku ya Jumamosi tarehe 2, Machi 2011, liliacha waTz midomo wazi, wakishindwa kuelewa dhamiri ya yale yaliyoandikwa ndani ya muswada huo!!!!!!!. Ilionekana...
  7. M

    Wiki hii historia mpya ya Tanzania inaandikwa?

    Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi! 1: Muhimu katika habari kubwa na tamu za leo Jumatatu Aprili 4, 2011 - Kumbe kikombe cha Babu wa Loliondo ni USHIRIKINA!!!!!! 2: Rais na waziri wake wa sheria watofautiana na muswada wa katiba wanaowasilisha bungeni wiki hii - kwa waliofuatilia kongamano la...
  8. M

    Kuna somo kubwa kwa watanzania kwa muswada unaopelekwa bungeni kuhusu hoja ya katiba mpya!!!!!

    Kongamano la UDASA jana Jumamosi tarehe 2, Machi 2011, limewaacha waTz midomo wazi, wakishindwa kuelewa dhamiri ya muswada huu!!!!!!!. Haiingi akilini kwa serikali yenye nia njema na mustakabali wa nchi kuweza kuandika muswada kama ule!!!!!!!!.Ni dharau kwa waTz; Mimi nina maono yafuatayo:- 1...
  9. M

    Kongamano la mswada wa kuanzisha mchakato wa katiba mpya lazua hisia nyingi

    Kwa zaidi ya mwezi sasa media zimetulisha kiasi cha kutuvimbisha akili habari za Loliondo-sijui taifa limefaidika nini zaidi ya kuchochea maafa ya wanaokufa kwa sababu ya kujazwa matumaini matupu (empty hopes) kwa kudhani ni imani ya uponyaji wa mungu asiyejulikana!!! Kwa ratiba ya vikao vya...
  10. M

    Viongozi wa dini kuacha kukemea serikali kwa kuacha wananchi kufa Loliondo ni unafiki!

    Inashangaza viongozi wa dini kuona hili la CDM kuandamana ndiyo inatishia amani na kulikoromea, lakini wananchi kwa makumi yao wanakufa kila siku Loliondo kwa visingizio vya tiba isiyo na leseni wala uthibitisho wa kitaalam huku serikali ikisherehekea hawa viongozi kwao si tatizo...
  11. M

    Hili limebaki swali ndani ya watanzania wengi??????????????????????

    Hivi kati ya hawa wana CCM wawili ni NANI HASA ndiye rais wa Tanzania-Kikwete na Rostam Aziz??
  12. M

    Kwa mtindo huu wa sekondari za kata tz iakwenda kuwa nchi ya wajinga zaidi??????????????

    Hebu fikiria matokeo ya form four ya mwaka jana, kwa trend hii kwa miaka 5 au zaidi Tz itakuwa taifa la wajinga zaidi ili mafisadi akina RA waendelee kutawala-hii ni mbinu tu za hawa jamaa-make them fools to rule them for life. Sasa hivi wanasuka mbinu za kuteka matokeo ya uchaguzi wa 2015 kama...
  13. M

    Bunge la aprili:serkali imekubali kuzingatia hoja za waangalizi wa eu-kitanzi kwa ccm?????????

    Source: Gazeti mojawapo la leo 7.3.2011 Kwamba katika muswada wa kuanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya utakaowasilishwa katika kikao cha bunge kinachoanza 5.4.2011 serikali itazingatia hoja zote za msingi wa demokrasia kama alivyoainisha Mbunge wa Bunge la EU, Mhe. David Martin katika...
  14. M

    Hivi mitambo ya DOWANS imewashwa au bado?

    Lile agizo la waziri mkuu pinda kwamba watawasha mitambo hiyo at all cost limetekelezwa lini????; wanaJF hebu tuhabarisheni???????????????????
  15. M

    Ujumbe wa maandamano mwanza salaam kwa spika makinda!!!!!!!!!!!!!!

    Kikao cha bunge cha mwezi Februari 2011 kimedhihirishia Watanzania kwamba spika Anna Makinda na wabunge wake wa sisiemu wana dhamira ya kukandamiza kwa lengo la kuua nguvu bungeni ya upinzani wa kweli nchini. Hii inatokana na mambo makubwa mawili yaliyojitokeaza zaidi:- 1) Kunyamazisha kwa...
  16. M

    Viongozi wasiokubali kuwajibika ni madikteta mamboleo!

    Hivi Mzee Ali Hassan Mwinyi kukubali kuwajibika wakati akiwa waziri wa mambo ya ndani halikuwa somo kwa taifa????????? Tujifunze nini kwa mtoto wake kutamka kijeuri kwamba hajiuzulu kwa suala nyeti hili la majanga ya kitaifa ya Mbagala na G/Mboto katika uongozi wake?? Jibu la rahisi ni tabia...
  17. M

    Tanzania taifa la majanga, Hivi kweli tutafika?

    Majanga!!!!!-majanga!!!!!-majanga!!!! Mara mv bukoba!!, mara ajali ya treni dodoma!!!,.... ajali za barabara kibao!!!, ...mabomu g/mboto 1!!!!!,....mabomu mbagala!!!, ...arusha trajedies!!!!, .....uchaguzi mkuu wa 31.10.2010 uliojaa uchakachukuaji wa wabunge batili 19 na rais batili!!!!,...rais...
  18. M

    KATIBA MPYA: Hoja ya Dowans Isitutoe kwenye Ajenda Muhimu KITAIFA!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    TUJIKUMBUSHE WATANZANIA!!!!!!!! Watanzania Je! Si Bora Tukaongozwa na Hekima Kuandika Katiba Mpya????????? Kwa mawazo yangu bado naona CUF wana agenda yao na suala la Katiba Mpya!!!????; sababu zangu ni hizi hapa:- 1) Katiba, sheria mama, kimsingi ni suala la bunge-chombo cha kutunga...
  19. M

    Hivi kuna 100% proof kinga kwamba Rostam hawezi kulipwa kinyemela?

    Ikionekana kwamba pressure ya sakata la Dowans inaelekea kupeleka taifa kwenye giza zaidi, haiwezekani yakafanyika malipo kinyemela, na jambo hili likazimwa kwa magakama kutoa uamuzi kiini macho????????????????? Lisemwalo lipo............!!!!!!!!!!!!!!
  20. M

    Bunge Kuanza Wiki Ijayo: Tutazamie Nini??????????

    1: Kwa mara ya kwanza Serikali Kivuli ya CDM bungeni kuzinduliwa!! 2: Masakata ya kutikisa bunge:- (a) Dowans; (b) Katiba Mpya; (c) Tume Huru ya Kuchunguza Matokeo ya 31.10.2010; (d) Hotuba ya rais ya kufungua bunge; (e) Tukio la Arusha; (f) Maadili ya kitaifa na ufisadi; (g) nk...
Back
Top Bottom