Du! ndugu yangu ni ngumu kuivunja hiyo kitu kwakuwa ni wao walioiunda iwasaidie na imewasaidia sasa kuivunja lazima kuwe na hoja ya msingi bungeni tena hoja Binafsi (ntaongea na tundu Lisu) ambayo itakua against PCCB labda kuanzia haop. lakini hata hivyo haitavyo vunjwa ila itabadilishwa muundo...
So rahisi na si kweli mal za CCM ni za Watanzania na wana CCm ni watanzania. Wao ndio walioanza mali ni zao na nyie CHADEMA mkiwa madarakani fanyeni vyovyote mwezavyo hatutawadai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.