Mzee baba haya mambo ya mapenzi ni yakuyaacha, ukute kuna mtu mwingine akimuona demu wako anakushangaa unawezaje kuishi na mwanamke kama huyoalivyo mchafu, wakat wewe unamuona freh kabsa
Kuna watu walimshabikia mwendazake kwa mbwebwe nyingiii, hawakuyaona madhaifa au upotoshaji wowote zama zile, sasa na nyie za kuupiga mwingi huku bibi zenu na ndugu zenu wanakunywa uji wa chimvi vijijini kwenu uko
Siko kwa mwendazake mimi na siutaki uongoz wa mwendazake hata kidogo, lakini siwezi kumsifia mama kwa kupandisha tozo za simu ambazo zimeleta maumivu kwa watu wa chini, so kwa kwahiyo uchumi ukiaribika duniani nawewe unakaa kimya watu wako waendelee kuumia bila kuchukua hatua yoyote yakunusuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.