Ni kitambo kidogo tangu kiongozi huyu aonekane hadharani. Ni zaidi ya miezi karibu 7 Mhe. Othman hajaonekana kwenye tukio lolote la Kitaifa.
Mfano ni hivi karibuni Masoud hakuwepo Dodoma katika Hafla ya Uzinduzi wa Ikulu ya Chamwino. Si hivyo tu, hata kwenye matukio makubwa ya Kisiasa visiwani...
Hiki alichokifanya Mwigulu ni muendelezo wa dharau dhidi ya raia.
Alianza na kututaka tuhamie Burundi, leo anasema,
Hatujui uchumi tujadili uganga..
Hii ni shibe. Na inakuja kwasababu tumekubali kuwa mazuzu.
Leo katika mahojiano yake na Shirika la Utangazaji BBC yaliyorushwa katika kipindi maalum cha Dira ya Dunia, Mhe. Rais SSH amezungumzia umuhimu wa kukutana na wapinzania.
Hata hivyo kipekee Rais ameeleza kuwa kwa muda amekuwa akisita kukutana na vyama hivyo kutokana na kuwa viko vipande...
Hili tangazo la Tigo 'Cha Asubuhi' linadhihirisha mmomonyoko wa maadili. Serikali ya Rais Samia ilione na kulikemea haraka sana. Tusirasimishe lugha za matusi. Kama serikali ilipiga marufuku matangazo ya Fataki, wimbo Magendaheka kwanini tuendelee kusikia hili tangazo la hovyo?
Say No #ChaAsubuhi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.