Search results

  1. FuturePresident

    Waziri Majaliwa apiga marufuku kilimo cha mkataba asema kinawanyonya wakulima

    Je Serekali imeshafanya utafiti wa kutosha..ni jinsi gani wakulima walikuwa wananufaika na kilimo cha mkataba? 1. Wenye makampuni walikuwa wanawapa wakulima kuanzia a) Mbegu b) Madawa c) Pembejeo nyingine Na bado wakulima walikuwa wanawapiga wenye makampuni kwa kutokulipa madeni haya...na...
  2. FuturePresident

    Mchungaji Gwajima ana cheo gani ndani ya CHADEMA mpaka kushiriki mchakato wa mgombea?

    Naona director alijaribu kuaanda movie yake lakini kachemka, mpango ulipangwa kuanzia kwa Dr Slaa..halafu kuweka wafuasi feki wa chadema kwenye maandamano,halafu kuanzisha mjadala kwenye mitandao ya kijamii, kiuanzisha udini ....cheap politics, maji taka same to 2010....kumbukeni Watanzania...
  3. FuturePresident

    Tofauti kati ya Wakenya na Watanzania

    Mzee huu uzi wako ungeupa heading tofauti na kuwa Kwanini ni lazima tufanye mabadiliko?
  4. FuturePresident

    Connecting Dots: Kingunge kudhibiti taarifa ya hali ya Mwalimu UK 1999 na Urafiki wa ghafla na EL

    Naona kazi imeaanza kama 2005....Salim Ahmed Salim alivyochafuliwa na kuhusishwa na....kifo cha Mzee...deshi deshi.....mwenye akili na afahamu......!!!! Hizi ni Dalili za kushindwa hata kabla mpambano haujaanza......ufisadi sasa unaonekana sio issue tena bali kumuhushisha mtu na kifo cha mwl...
  5. FuturePresident

    Wazo: Aliyeishawishi Serikali kuingia BVR pasipo Feasibility Study awajibishwe

    Bila Shaka.....kwa machine zile hakutakiwa mtu wa kujua computer kwenye internet cafe ndio awe operator...walitakiwa wazoefu wa IT ndio wangekuwa operators...sijui hata utaratibu wa kuwapata hawa operators ulikuwaje...wengi wao uwezo wa kutumia computer ni mdogo mno...
  6. FuturePresident

    Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii,Wafanyakazi wa umma na wasio wa umma kufa masikini

    Sio nnchi nyepesi bali ni nchi inayoongozwa kwa kutumia nguvu za Giza...kwahiyo wa Tz wanarogwa saana kila kukicha....hivi walivyo wa Tz ni kwasbabu ya kurogwaaaa...na ndio maana ni nnchi peke ambayo mchawi au mganga wa kienyeji anatoa matamko au uatabiri wakiserekali na kutishia wengine maisha...
  7. FuturePresident

    MH. Mwigulu ni Mtetezi wa wanyonge bila chembe ya shaka

    Kwa jambo hili ukiwa mkweli tuu utapendwa...huu ndio uzalendo..kuonyesha kweli unaumizwa na uovu...kuliko wale wajinga wanao kiuwa chama chao bila kujua kuwa wanakiuwa chama kwa kutetea majambazi.....
  8. FuturePresident

    Askari wa usalama barabarani watumie mashine za EFD

    100% na Hapo ndio utakapojua kweli wanania ya kupiga watu Faini?
  9. FuturePresident

    Huu sio mto bali ni un road upanga

    KUNA HAJA YA SEREKALI KUANGALIA UPYA SWALA LA MIUNDO MBINU HAPA NIKARIBU KABISA NA BAHARI KUU HALI NDIO HII KWA MVUA YA SAA 2 Leo 16 .04.2014
  10. FuturePresident

    Katiba Mpya: Askofu Kakobe ampelekea Rais Kikwete ujumbe wa wazi kutoka kwa Mungu

    Yeh..Great Thinker you have gone an extra mile!!
  11. FuturePresident

    Ungependa kutoka na nani hapa JF....

    Amini tuu bana kwani salamu si ndio mwanzo wa kujuana!!!! habari yako bana...
  12. FuturePresident

    Kununua gari au kujenga nyumba

    Ningependa kushare na watu wengine uzoefu wangu..mimi mwenyewe kwangu mimi nilianza na gari...Lakini nashukuru Mungu aliniongoza kununua aina y Gari ambayo ..muda ulipofika nataka kuiuza haikunipa shida...kwakifupi ni yale magari ambayo hufungi nayo ndoa ya Kanisani!!!...Hii gari kwangu ndio...
  13. FuturePresident

    Ungependa kutoka na nani hapa JF....

    Mimi sina wangu bana wee vipi!!!?
  14. FuturePresident

    Ndoa tayari,hakuna stress,kukimbizana michango,kuvunja undugu au urafiki,

    Ann Kansiime Wedding Contributions...ha ha ha ha ha ha!!!1
  15. FuturePresident

    Najikuta naanza KUIKUBALI CHADEMA..!

    Kama alivyo engineer Nawe pia ni Great Thinker of Today......
  16. FuturePresident

    Kilio cha Mlalahoi: Kupanda kwa bei ya umeme wanasiasa mko wapi?

    Acha hizi...hebu nipe gharama za Installation ya umeme wa jua kwa mtu mwenye matumizi ya kawaida ya nyumbani ....yani yule mwenye, fridge, Pasi , TV na Radio tuu.....tupia gharama zake hapa halafu tuangalie ni watanzania wangapi wenye kipato cha kumiliki vitu nimetaja hapo juu wanaweza kufunga...
  17. FuturePresident

    Kilio cha Mlalahoi: Kupanda kwa bei ya umeme wanasiasa mko wapi?

    Yaani wadanganyika ni kama kuku wa kienyeji.....mwenzao anakamatwa na chatu wote kwa umoja wanapiga kelele kwekwe... kwekwe... kwekwe..... kwekwe....wanatimka baada ya nusu saa wanarudi pale pale kwa kuchungulia kwa jicho moja baada ya saa moja wamejazana pale pale telee..bila wasiwasi...sasa...
  18. FuturePresident

    Wachina tena: Wakamatwa na Meno ya Tembo 81 Bandarini Dar es Salaam - Jan 2, 2014!

    Tembo wao wamewang`oa Meno vibogoyo hapana chezea issue ya viagra.......tembo wote takwisha sasa
Back
Top Bottom