Je Serekali imeshafanya utafiti wa kutosha..ni jinsi gani wakulima walikuwa wananufaika na kilimo cha mkataba?
1. Wenye makampuni walikuwa wanawapa wakulima kuanzia
a) Mbegu
b) Madawa
c) Pembejeo nyingine
Na bado wakulima walikuwa wanawapiga wenye makampuni kwa kutokulipa madeni haya...na...
Naona director alijaribu kuaanda movie yake lakini kachemka, mpango ulipangwa kuanzia kwa Dr Slaa..halafu kuweka wafuasi feki wa chadema kwenye maandamano,halafu kuanzisha mjadala kwenye mitandao ya kijamii, kiuanzisha udini ....cheap politics, maji taka same to 2010....kumbukeni Watanzania...
Naona kazi imeaanza kama 2005....Salim Ahmed Salim alivyochafuliwa na kuhusishwa na....kifo cha Mzee...deshi deshi.....mwenye akili na afahamu......!!!! Hizi ni Dalili za kushindwa hata kabla mpambano haujaanza......ufisadi sasa unaonekana sio issue tena bali kumuhushisha mtu na kifo cha mwl...
Bila Shaka.....kwa machine zile hakutakiwa mtu wa kujua computer kwenye internet cafe ndio awe operator...walitakiwa wazoefu wa IT ndio wangekuwa operators...sijui hata utaratibu wa kuwapata hawa operators ulikuwaje...wengi wao uwezo wa kutumia computer ni mdogo mno...
Sio nnchi nyepesi bali ni nchi inayoongozwa kwa kutumia nguvu za Giza...kwahiyo wa Tz wanarogwa saana kila kukicha....hivi walivyo wa Tz ni kwasbabu ya kurogwaaaa...na ndio maana ni nnchi peke ambayo mchawi au mganga wa kienyeji anatoa matamko au uatabiri wakiserekali na kutishia wengine maisha...
Kwa jambo hili ukiwa mkweli tuu utapendwa...huu ndio uzalendo..kuonyesha kweli unaumizwa na uovu...kuliko wale wajinga wanao kiuwa chama chao bila kujua kuwa wanakiuwa chama kwa kutetea majambazi.....
Ningependa kushare na watu wengine uzoefu wangu..mimi mwenyewe kwangu mimi nilianza na gari...Lakini nashukuru Mungu aliniongoza kununua aina y Gari ambayo ..muda ulipofika nataka kuiuza haikunipa shida...kwakifupi ni yale magari ambayo hufungi nayo ndoa ya Kanisani!!!...Hii gari kwangu ndio...
Acha hizi...hebu nipe gharama za Installation ya umeme wa jua kwa mtu mwenye matumizi ya kawaida ya nyumbani ....yani yule mwenye, fridge, Pasi , TV na Radio tuu.....tupia gharama zake hapa halafu tuangalie ni watanzania wangapi wenye kipato cha kumiliki vitu nimetaja hapo juu wanaweza kufunga...
Yaani wadanganyika ni kama kuku wa kienyeji.....mwenzao anakamatwa na chatu wote kwa umoja wanapiga kelele kwekwe... kwekwe... kwekwe..... kwekwe....wanatimka baada ya nusu saa wanarudi pale pale kwa kuchungulia kwa jicho moja baada ya saa moja wamejazana pale pale telee..bila wasiwasi...sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.