Mtizamo wangu ni kwamba kuna mfumko mkubwa sana wa wazazi na walezi wasiopenda kuwajibika kwa watoto wanaowalea.Matokeo yake watoto wengi wanakosa makuzi mazuri,wanakuwa hawaza mtizamo/ndoto za maisha yao ya baadaye.Chukulia mfano wamama wa leo unakuta mama anamvalisha mtoto mavazi na urembo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.