Kweli wewe ni funza,Devis hata angefanya nini asingeshinda moshi mjini!! Alijidanganya ana pesa tukamwambia aje tuu lakini ataondoka kapa!! Hajaibiwa kura hata moja!!hata hizo alizopata wengine tunajiuliza alipataje maana watu wa moshi mjini wapo makini!! Na kama ni rafiki yako mshauri aache...
Kuna watu walitaka waambiwe wanapewa milioni hamsini kila kikundi cha vikoba!!!
Matatizo ya WANAWAKE yatamalizwa na WANAWAKE wenyewe!! Lowasa yupo sahihi kabisa, mtafutieni kura halafu mtakuja kukaa chini na kutoa mapendekezo yao nini kifanyike kutatua changamoto hizo!!!
Devis kazaliwa na kukulia kiborolini,ila kupata ubunge moshi mjini labda kwenye ndoto!! Mtu gani hajui hata sheria za eneo husika!! Kura za maoni tuu katuchafulia mji na vipeperushi!! Devis tukutane Oct 25
Unaposema mkeo hapendi wageni unatumia kigezo hicho cha kukataa mjamzito? Au huwa unakataa na wengine?? Usimlazimishie majukumu yasiyomuhusu!! Kama unataka kumridhisha mshikaji wako pangishia hao wageni gest karibu na Hosp!! Ila ujue jukumu unalotaka kujibebesha ni kubwa sana!! Kwenye kujifungua...
Nesi kupiga mama kibao hairuhusiwi kabisa, ila kuna wakati inabidi kuchapa kibao na kukoromea sana, haiongezi uchungu ila inaongeza usikivu na mtulivu kwa mama mwenye maumivu mpaka anakua kama kachanganyikiwa! Mfano unakuta njia imefunguka vizuri, Mtoto ameshuka vizuri na tayari sehemu ya kichwa...
Huwa wanakua na hizo hali za kutaka au kukataa kitu flani, ila hawana jinsi ya kuelezea! Waliowapa ujauzito wamepepea! Asumbue matron au mwajiri wake hajipendi?
mara nyingi ni mabadiliko ya mwili! Na mama anateseka kweli!haaa mimba ikiwa ndogo! Wengine ikifika miezi minne na kuendelea anaweza kuvumilia ila wengine hawawezi!
Jitahidi kupeleka anachopenda as long una uwezo nacho!
Huwa inatokea sana,muhimu mama ale vizuri na anaweza kuendelea kunyonyesha mpaka ujauzito ufike miezi saba ili kuacha nafasi ya maziwa ya mwanzoni yenye kinga kutengenezwa kwa ajili ya Mtoto mpya!Baba atoe ushirikiano wa kutosha kulea Mtoto maana mama anaweza kuchoka na kushindwa!kila la kheri kwao
kuhusu uongozi wa juu kwamba wametokea wapi sidhani kama linahusiana na malalamiko ya ukabila! Nachosema ni kwamba sijawahi kutendwa vibaya sababu ya nilipotokea! Kuhusu KKT siwezi kuwasemea mimi siabudu huko! Nasisitiza waliotendwa kwa sababu ya ukabila waje na ushahidi sio kuongea tuu! Tuhuma...
Nimemkatalia kwa sababu mimi sio mmachame, sijawahi kutendwa tofauti wala kusikia mtu katendwa vibaya kisa sio mchaga! Kuhusu kupandishwa madaraja hiyo ni tatizo, nipo hapa mwaka wa saba sasa, so kama kuna ushahidi wa ukabila mtu anao siwezi kujua!
pia akumbuke wapo wanawake hawapati mapema dalili za mwanzo za mimba
na wapo wasiopata kabisa dalili wanashtuka tuu mtoto anacheza wakienda kuuliza ndo wanaambiwa ni mimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.