Haya mabadiliko ambayo wanataka kuyafanya kwa msingi upi !!! Kiukweli sithani kama wanaweza kuleta mabadiliko kwa gafla kiasi hicho..!! Tuache kudanganyana hapa ni sawa na Kazi bure....
Biashara matangazo............................
"Ela yako tu hapo unang'oa mtoto "
Unajua tutaiga mpaka kula MAVI kwasababu ya upunguhani wetu..... mzungu akivaa kitu Mtz nae huyoooo....... haya bana. muigeni basi EDTON JONH kapata MTOTO.
Not comfermed..........................
Jamani Kama ujafanya UTAFITI , USITOE tuhuma ambazo :tape: huna uhakika nazo.... Co kama nawatetea MABINT, Bali MAMA yangu ni MCHAGA PURE. Natangu nazaliwa hayo huyasemayo ckufanikiwa kuyaona....... HACHA HUTUCH... :bowl:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.