huo ndo ukweli tukiamua kusema ya nyuma ya pazia ila pia umri wa miaka 20-29 huwa una mambo sana yakujiona bado nalipa,[emoji2]kuna maneno mengine huyu jamaa awe mpuuziaji yatokayo kwa mwanamke otherwise ataoa sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu mwanaume mwenzenu inabidi mmwelewe tu maana alishatoa msimamo wake yeye haachani na mama J . Yaani kwa herufi kubwa haachwi mtu hivyo sisi tumeshamwelewa na tumebaki ndugu watazamaji tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu mama J kanichekesha sana eti nesi malaya anatembea na waume za watu sijui yeye mama J, D ni mmewe!!!!??? Kwanza hawa ni marafiki Ina maana kuna vitu wanaendana.
Mimi nafikiri sababu lukuki atowazo mamako ni vile hajamkubali mkwee anajaribu kukuvunja moyo ili uachane na jamaa na maana anajaza sababu nyingi,
Ila sababu ya msingi niliyoona hapo kwenye bangi best sio rahisi mzazi kukubali binti yake aolewe na mvuta bangi au hiyo ya uvaaji ukute suruali hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.