Hii nimeipenda, haya Waziri hili unalisemeaje? Tena wakati profesa anajuzulu CUF ulikuwa waziri wa sheria na katiba, hebu tupe ufafanuzi utofauti wa katiba hizi mbili, ya CUF na ya Yanga mwenyekiti anapojiuzulu kwa barua, ni nani anayetakiwa kuthibitisha au kukataa kujiuzulu kwake. Acheni...
Yanga ina katiba yake, na ili jambo hili la uchaguzi likamilike, lazima katiba ya Yanga ifuatwe, tuache mihemuko ya wanasiasa, kwenye CUF wapo kimya mpaka leo, lakini kwenye Yanga wanatoa povu. Yanga ina washabiki wengi kushinda CUF na Yanga ipo kabla ya hata huyo mtoa povu wa serikali
Hapana mkuu, we are going beyond, na watu wa dini hawataki kuheshimu mamlaka zilizowekwa duniani kwasababu wanahubiri dini, wanadhani wao wako karibu na mungu wakati hata wao ni binadamu wa kawaida tu. Tujifunze kueneza yaliyo sahihi, makelele na mapambio hayawezi kutukutanisha na mungu na...
Hakuna moto pale. Juzi nilicomment mashaka yangu na uandishi wa barua ile. Lakini kwa mtu yeyote anayefuatilia uandikaji wa barua za serikali, uandishi ule ulikuwa na kasoro nyingi. Tatizo la Kwanza, barua kumng'ang'ania mtu mmoja badala ya tasisi, Pili, barua kuunganisha na madeni wakati...
Wakati mwingine JF inatusaidia kujua wapimga kila kitu na watafuta cheep kick. Lakini ipo siku wataelewa maana baada ya maneno yao kwisha, vitabaki vitendo vya serikali ya JPM
Maigizo wakati rais anafanya kweli! Kaeni hivyohivyo nchi ndo inaenda hiyo. Chuki mchukieni lakini ukweli unabaki palepale haya anayoyafanya JPM ni mambo ya kupongeza sana. awamu zilizopita walikuwa wanagawana posho za safari za nje, bora huyu anayegawa kwenye shule wajenge vyoo
You are not wise at all kwa jinsi unavyoingiza hata matusi katika kuchangia. Jaribu kuwa mstaarabu japo hata kidogo sidhani Kama matusi huwa yanaongeza uzito wa point. Asante.
Inaonekana umekuja kupost bila ya hata kujua alisema nini kabla hajatangaza Dodoma kuwa jiji. Alisema hivi, namnukuu "Kwa mujibu wa mamlaka niliyonayo kikatiba natangaza, kuanzia leo, Dodoma ni jiji" mwisho wa kunukuu. Lakini pamoja mamlaka aliyonayo, Dodoma ilitimiza vigezo vyote kuwa jiji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.