Habari za asubuhi:
Moja kwa moja kwenye maada,Naomba connection au chimbo la saa za smart(Smart watches) kwa bei ya jumla jumla tufanye kazi.
Jamii forum ni kubwa na inatukutanisha na watu mbali mbali wenye utashi na weledi mbali mbali,Naamin siwezi toka kapa kwenye hili.Natanguliza shukran na...
Habari za asbh ndugu zangu,
Moja kwa moja kwenye Mada, Kutokana na changamoto ya ajira nimeamua kujichanganya na nianzishe biashara ya yangu mwenyewe ya kuagiza mzigo kutoka alibaba au aliexpress then ntakuwa nausukuma mtaani.
Changamoto ninayokutana nayo,nashindwa jinsi ya kuagiza hiyo...
Habari za mihangaiko ndugu zangu,Poleni na pilika pilika za hapa na pale.Na mimi leo nimejitokeza kwa mara nyingine kuomba utashi wenu juu ya hili linalonitatiza kuhusu uelewa wa hawa dada zetu kupenda mwanaume alie na rangi nyeusi na kutamani kuzaa watoto walio na rangi nyeupe.
Mama au...
MTU anapokuambia anasomea Logistics anakuwa ana manisha nn,na ni masomo yapi anakuwa amechukua tangu akiwa A-Level.mana mwenye ujuz na utash juu ya hili anisaidie kudadavua
Habar za mida wana MMU...nimekuwa msomaj mzur wa thread za watu humu na kutoa support ya ku comment nyuz zao.ss na mm yamenikuta nisiyoyatarajia
Kwa mfano ukagundua girL wako ana chepuka na njemba nyingine huwa mna soLve vp hiz ishu maana nahs najikuta nakosa jib sahihi kwa bishost@nawaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.