Wafukuzeni ili muendelee kuifurahisha CCM kwa manufaa na ustawi wa CCM. Viginevyo uongozi wowote wa upinzani wenye hekima hata kidogo tu hauwezi kufukuza mwanachama katika kipindi hiki kigumu kwao. Yatakuwa maamuzi yenye kushinikizwa na CCM na naaza kuamini Chadema itakuwa imeanza kukubali...
JF endeleeni kutetea uhuru wa kujieleza wakuu, ndiyo maana tunaona hata waliotindikiwa akili kama huyu aliyeanzisha uzi huu naye akipata fursa ya kujieleza nawapongeza sana Mungu atawalipa
Tatizo watanzania wengi wana vyeti fake uelewa fake hivi hawaelewi nini? Mkuu wa mkoa ni mwakilishi wa rais kwenye MKOA siyo muwakilishi wa wananchi mkoani, sasa logic ya kawaida kama kweli rais yuko bize anataka awape pole wananchi wafiwa kwa nini asiwakilishe salamu hizo kwa wananchi wenyewe...
T
Sidhani kama kuna mbumbumbu ndani ya jamii forums asiyejua kuwa kura za urais huwa hazichangii ruzuku ya Chama, kura zinazochangia ni za ubunge tu, sidhani kama Kuna mwenye takwimu za mchango wa kura za urais kwenye ruzuku za vyama aweke wazi. Kukurupuka kusema ni ujuha. CUF kimepata wabunge...
Kama mnataka watoto wenu wawe watumwa wang'ang'anizeni kiswahili chenu hicho, maana mpaka sasa descent employment kutoka makampuni ya ndani na ya nje ni kwa watoto waliosoma shule za kingereza au nje ya nchi
Mtwara ni ujerumani duh maccm anawapa shida huyu mzee, mtaomba sana mwisho wa yote nyie ndo yatawapata, hamwezi kukufuru kiasi hicho halafu mungu awe nanyi
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KUJIUZULU KWA MWENYEKITI WA VIJANA BEATRICE CONDRAD SHIRIMA 06/09/2015
Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Rombo kinasikitishwa na taarifa zisizo za ukweli zilizotolewa na aliyekuwa Mwenyekiti wa umoja wa vijana Rombo Beatrice Shirima kuwa amechukua hatua...
Miezi mitano bila kulipwa mshahara kwa watumishi wa vyombo vya habari ni kawaida yao maana majuzi tu nilikuwa naongea na na mtumishi mmoja wa sahara media group(wamiliki wa startv na RFA) anasema nao hawajalipwa mishahara miezi minne na muda wowote watagoma mtashangaa kuoma muziki tu ukipigwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.