kuna jamaa aliwahi kumkandamiza bibi yake alipobanwa akasema analipa kisasi kwa dingi yake kwa nini anamkandamiza mama yake na yeye anamkandamizia mama yake(bibi)
safari zingine haziepukiki kwani anaudhuria mkutano muhimu pia kuna world economic forum hawezi kukosa hiyo ni muhimu pia hata nyerere alikuwa anasafiri kama kuna umuhimu
kiswahili fasaha ni waziri mkuu wa zamani period,mambo ya mstaafu ,sijui aliyejiuzuru ni kupoteza nguvu na muda,mbona sokoine haitwi waziri mkuu aliyekufa?
ni kweli jamaa ni darasa la saba pale kijitonyama primary school LY 88 ila ile katuni ukiitafsiri kwa jicho la tatu ni kwamba polisi wanavyozidi kuua raia ndio wanawapa umaarufu cdm,au nyie mnaonaje
walitaka kuhujumu mdahalo wa nkrumah wakaweka mkutano wao diamond jubilee kesho yake habari zao zikaandikwa na magazeti machache kwa ufipi hazikuwa coverage yakutosha hii ilinifurahisha sana kwa sababu watanzania wako tayari kusikia mambo ya maana ya wanazuoni wa kiislamu kama shivji na...
siungi mkono hoja kwa nini kupoteza muda na hela hizo bilioni ulizotaja itakuwa dowans nyingine kama sio kagoda kengine,kama ulifuatilia mjadala wa jmosi pale nkrumah kuna mchangiaji mmoja alisema serikali sio sikivu tutaandaa semina, warsha ,kongamano ,kigoda,mikutano,mbongi nk lakini hiyo yote...
kesho jumamosi professa Issa Shivji na Jenerali Ulimwengu watakuwa na kongamano endelevu juu ya katiba mpya katika ukumbi wa nkurumah chuo kikuu kuanzia saa nne wote mnakaribishwa hata kama sio wana jamii ya mlimani,natamani hata Dk.Yusuf makamba angekuwepo
jamani sisi wengine tumezaliwa enzi za mkapa hatukuwahi kupata bahati ya kusikia hotuba za kiiingereza za mwinyi wala nyerere,ningependa kujua kati ya hao wanne nani ni mkali wa kucheza na lugha namaanisha kiingereza,majina yafuate mtiririko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.