Tutor B,
nakubaliana na wewe you can hold as long as even 10 hours , but remember hiyo siyo vita "MAKING LOVE can be more ENJOYABLE than JUST SEX" , you can do it in a very short time but to the climax of no example, na ki ukweli, ukimwandaa mamaa mapema, in the bed IS THE FINISHING TOUCHES and...
nakuunga mkono, uwazi ni mzuri, na wakati unataka kumweleza mwenzako, lazima uweke mazingira mazuri, ya upendo na kumwonyesha unamjali.
but further more make sure u "HOLD" it t least for 10 to 15 min, kwani "the man" akiwa well erect you can make her reach the "heavens" na kwa kweli hapo ndo...
nimeona picha nyingi sana za wanafunzi wanpiga pamoja ka class, hvi siku hizi kuna tabia kama hii, au ndo zile tunaona tu wanapiga mabwenini wamekumbatiana au nusu uchi, good memory for alumni
haswaaa, na hii picha hapa chini, kwa upande wa kulia ndipo lipo jengo la EXM sasa, halafu hii barabara
a hapa karibu, ndo ipo nyuma ya posta mpya........... loh
nina wasi wasi kama picha hii imepigwa ENZI HIZO, inawezekana imepigwa siku ya siku ambayo watu ni wachache, check hata mlima kilimajnaro barfu ilivyokwisha, enzi hizo kipara chote cheupe, barafu tupu... mmmmh
ni kweli miji ilikuwa misafi sana, lakini nafikiri uchache wa watu nao ulichangia miji kuwa misafi, manake watu tunapokuwa wengi kila mtu ana akili zake, na tabia kuzi control ni kazi sana, check hapa mtaa mkubwa mtu mmoja tu na ni mchana kweupeeee
nafikiri kuchoma hayo majengo si kitu,,, kikubwa wakristu muwe na moyo wa subira... Na msamaha, hakuna kulipiza kisasi... Wakusanyikapo wawili au watatu mungu yupo.. Wakristu watasali popote
Hello JF,
does Tanzania have any legislation governing information security, and if person caught breaching network and steal information what are the consequences?
is there any cyber law, at large?
Regards,
mja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.