Heheheeeee Kweli maneno ya mkosaji!
Lakini roho inauma sana hapo alafu ukizingatia Mpo Maeneo ya Pamoja labda kazi,chuo,shule au kwenye Biashara panakuwa hapatoshi.
Izo nguvu za kuuliza izo ndio shida!!
Kuna Baadhi Ya Mambo Nashindwa Kuyaelewa Kabisa Kwenye Mahusiano ya Kimapenzi:
1. Ni kwanini watu wakiachana, Huwa Wenza hukashifiana sana mfano; Mwanaume gane wewe? Mwanamke mwenyewe Mbaya n.k
2. Kama unampenzi wako unampenda sana, Inatokea unamtambulisha kwa Rafiki yako then msichana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.