Search results

  1. W

    Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

    Mkuu nataka kununua bitcoin sijui kwa bongo hapa nitapata wapi cash ninayo na vipi nikitaka kuuza pia cash napataje?
  2. W

    Nahitaji nyumba maeneo ya Mwenge au Sinza

    Hapana anajehama ni jamaa yangu namjua aliyempangishia nyumba hapo
  3. W

    Nahitaji nyumba maeneo ya Mwenge au Sinza

    Kuna nyumba mtu anahama next week Sinza Karibu na Wanyama Hotel ina vyumba 3 vya kulala ila kodi mtaelewana na mwenye nyumba upo chini sana nakupa namba ya mwenye nyumba mtafute mwenyewe. 0755690784, 0788854045
  4. W

    Naomba niwaage

    Pole sana Sent using Jamii Forums mobile app
  5. W

    Gari Noah inauzwa

    Gari aina ya Noah inauzwa bei TZS 8m Gari ipo Bunju Dar namba ni DCP.Haina tatizo lolote mwuzaji anatumia gari nyingine. kwa mawasiliano 0713895302
  6. W

    Naomba kueleweshwa kuhusu riba ya CRDB ukiuza mkopo

    Ukiuza mkopo Kuna transfer fees ndio hiyo nadhani niliwahi kumbana na hayo mambo
  7. W

    Kwanini ni muhimu kwa kijana wa kisasa kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM)

    Uteuzi umeshakamilika huko Lumumba subiri 2020.
  8. W

    Makamba, Membe, Bashiru....

    Inapendwa kila kona ya nchi upo serious kweli wewe kada?
  9. W

    Nyumba inauzwa mbezi beach mil 120

    Je Imeshauzwa? Kama hapana Ina hati? Ikiwa jibu ni ndiyo January nitakucheki Kama itakuwa bahati yangu ikawa bado haijauzika
  10. W

    Je Kiki ya Fao la Wastaafu itawavusha Chadema ??

    Wewe naona umepata viroba asubuhi, Nani kakwambia wanatafuta kiki? Wanasaidia wafanyakazi mliovimbiwa mnasema ni kiki aibu yako.
  11. W

    Republicans na Democrats wangekuwa ' Maadui ' kama wengineo Kwingineko leo Marekani isingekuwa mbali hivi

    Mpelekee ujumbe mhusika Kama atakuelewa basi biashara ya binadamu itapigwa stop kuanzia sasa kuunga mkono juhudi
  12. W

    Anguko la watetezi laja

    Jingalao, Isis, Utaifakwanza na wengine msiojitambua uzi unawahusu huu
  13. W

    Tuliharibiwa: Madhara ya Ufisadi Yanaonekana katika Masalia ya Fikra Za Watu Wetu

    Lea wajukuu tu sasa kichwani huna lolote kwasasa
  14. W

    Tuliharibiwa: Madhara ya Ufisadi Yanaonekana katika Masalia ya Fikra Za Watu Wetu

    Mzee huna lolote siku hizi . Hii biashara ya binadamu inayofanywa na awamu hii ni ufisadi wa level ipi?. Wapi 1.5tilion zilipo ?
  15. W

    Wabunge wamewasulubu wapiga kura wao

    Mtumie copy Kingu pia asome malalamiko yako labda atakuelewa.
  16. W

    Mashine za masikio (hearing aids)

    Nenda upanga opposite Richmond tower kuna wahindi hapo wanafanya hiyo kazi Hear well Audiology
  17. W

    Klabu bingwa dunia live & exclusive in startimes pekee

    Okpikhjhhdhhrhd hslkkyj kwa zokkkkkcofhjovk Okkmok0
  18. W

    Ni forex tena, zamu hii pokeeni ukweli huu..

    Hongera TMT kwa kutuletea elimu hii hapa bongo tena kwa bei poa kabisa. Wengine baada ya kusoma vitabu kadhaa vya Forex kama mentor alivyoshauri tonaona matunda ya hii biashara.
  19. W

    Mkopo wa riba nafuu

    Contact zako inbox please
Back
Top Bottom