Jamani kuna hili la uwanja mpya kuhangaikiwa kupewa jina kwa nini asipewe Brother Beni ambaye ndie tunaweza kusema alihakikisha unajengwa? na shangazwa na TFF kwa kutomualika hata katika mechi ya kwanza kuchezwa pale na hakuna kiomgozi yeyote anayestahili kubeba jina la uwanja ule...
Pipikali Unaundugu na Lundenga????? mwanakijiji nijuze kosa la Rica ni Kuhonga na Kupewa taji akijua haendo popote labda ni ule Mkoko ( Kagari) waulizeni washiriki wenzake
na Kosa la Lundenga ni kuwa hajui kuandaa mashindano ya Urembo bali maonyesho ya Biashara kwani Miss Tanzania 2007 ilikuwa...
Jamani hili jambo mimi linaniingia kivingine kama aqlivyosema Junior kuna sehemu namuunga mkono na kwengine sikubaliani nae..
Kwa ujumla mimi silikubali Shirikishi hili hasa kwa maslahi wa watanzania wote wa mijini na vijijini kwani hata wenye nchi yao (watanzania) hawaelewi chochote juu ya...
Ndugu hawa wabongo ukiwaambia Wadhamini kujenga uwanja mwingine watasuasua sasa kama watatokea watu kudhamini safari ya madrid its ok ilimradi isiwe hela ya serikali ambayo ni jasho la watanzania maskini pia kumbuka kuwa hawa mabigwa wa ulaya wakija watatoa hamasa kwa wabongo kujali michezo hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.