Mfano, wazungu wakiweka hizo title utaona sawa na watanzania kuziweka?? Kwa maana ya mzungu akifanya jambo basi wengine mkiiga inakua haina shida kabisa?
Ni mara chache au kama sio zote kumkuta wakili anaanza kujiita Adv. ABCD, ila hao watu wa CPA na wahandisi, wanapenda sana. Lakini sio kesi, wamepambania taaluma hizo acha wajiite watakavyo
Niliona mahali wanasema mwaka wa fedha 2024/25 mradi wa DMDP utajenga kilometa 36 kwa kiwango cha lami kwa wilaya ya Ubungo.
BARABARA ZA MITAA ZITAKAZOJENGWA NA DMDP
Kwa wilaya ya Ubungo, jumla ya kilomita 36.11 zitajengwa kwenye maeneo zaidi ya 20 kwa umbali tofauti.
Katika maeneo yote...
Ni sahihi mkuu. Sasa kinachoshangaza ni Cainiao kuleta mizigo yenye label hivyohivyo ila pasipo mteja kulipa chochote zaidi ya gharama ya kusafirisha.
Hata shirika la Posta tu, mtu unalipia shipping charge na sio waybill ya document yako mwenyewe, na hapo mizigo yote imekuja kwa ndege na kupita...
Nje ya box, KFC anachouzia ni ile brand name, kama tu CocaCola na Pepsi wanavyouza soda zao. Kwa huo mtaji wa Bilioni 4 si mtu uanzishe kabisa brand yako ila uuze na kuandaa kuku kama hao KFC mpaka packaging, unaweza kutoboa zaidi maana faida yote itakua yako. Hao wanaotamani kununua bidhaa za...
Mkuu, Alibaba na Ali Express ni app za kampuni moja. Alibaba ni kwa ajili ya manunuzi ya jumla (utauziwa bei ya jumla na mzigo unakuwa una idadi ya kuanzia - labda pisi 5 na kuendelea) huku aliexpress ni ni kwa ajili ya manunuzi ya rejareja, unanunua hata kitu kimoja tu.
Basi arudishwe kuwa mtangazaji, maana kwa sasa redio imekuwa mbaya mno. Asubuhi imekua na vipindi kama vya kina Mwijaku na kina Baba Levo.. yaani zile content kama za JK (John Karani) enzi za the Morning Kiss (Topic of the day) vimekufa kabisa
Pamoja na yote, sound ya kiss FM na RFA sio mchezo. Ni baba lao, Mono ya maana, sio michele michele (stereo) ya radio ya wafu na nyinginezo. Ile mono ya kiss fm ukiweka na jingle yao ile..dah
Hapo Jumamosi unasikiliza The Weekend Top 30 na Ryan Seacrest..unyama sana🔥💥
Kwenye andiko uliloweka hakukua na neno sherehe, bali kumtukuza Mungu. Sasa kumtukuza Mungu ni jambo la kila siku, haimaanishi kusherehekea.
Mimi nimerejea mitandaoni maana kwenye quran haipo, sawq tu ilivyo pasaka. Kwa hiyo unapouliza chanzo cha Easter ni sawa na kuuliza chanzo cha idd el...
Mkuu, hapo ukisoma hakuna maelezo kuwa watu washerehekee eid. Ukisoma mitandaoni kupata origin ya sherehe ya eid el fitr wanaeleza kuwa ni Mtume SAW alikuwa akisherehekea ushindi wa vita ya Badr.
Kwa hiyo unakuta haihusiani chochote na mwezi wa Ramadhan (kufunga) ingawa vita hiyo ilipigwa...
Mkuu, unajua msingi wa mada ni ku-attack ukristo. Obvious dhidi ya dini nyingine ikiwemo na uislamu.
Sasa mfano, Idd el fitri chanzo chake ni kipi? Na je kama haipo kwenye quran, ina uharamu wowote kwa waislamu?
Hii ni tamaduni tu, kama ilivyo krismasi. Hazijawekwa kibiblia, hazijaagizwa na Mungu. Ila Yesu aliagiza wanafunzi wake wale mkate (chakula cha Bwana) kukumbuka mwili wake na pia wanywe divai kukumbuka damu yake iliyomwagika msalabani. Haya yapo Kibiblia na hufanyika kabla ya Pasaka (easter)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.