Raisi wa Tff amesema ana muda wa terms 2 za kugombea baada ya kufanya amendment kwenye katiba!
Anasema wanaanzia kuhesabu terms zake pale amendments ilipofanyika, utumishi uliokuwa nyuma ya ile amendment hauhesabiki[emoji1787][emoji56]
Huu ni udeckteta, uchu wa madaraka, haikubaliki!
Raisi wa CAF kasema kuna pesa zinatolewa kwa ajili ya ukarabati wa miundo mbinu ya soka Africa,
Najiuliza nchini kwetu kuna ukarabati wowote wa miundo mbinu uliofanywa na TFF!
"Aubin Kramo anasumbuliwa na goti, huenda tatizo lake lilianzia ASEC [emoji1081] lakini limekuja kujitokeza Simba. Tumempa ruhusa kwenda Nchini kwao (Ivory coast) kujitibu zaidi kisha atarejea. Madaktari wamesema kama tungeendelea kumchezesha huenda angepoteza career yake
Ahmed Ally
Hawa mabondia sidhani kama wanafanya hata mazoezi ya boxing[emoji3][emoji3]
Kama hili pambano la Joseph Mchapeni ndiyo kituko, hayo mapambano siyo ya kupoteza mda kupeleka makamera na kurusha kwenye tv, ni kituko!
Kwanini viongozi msiombe kibali cha kwenda Serengeti national park, mkazindue jezi zenu pamoja na kundi la Simba nao wafurahi!
Siyo mbaya mkachagua baadhi ya viongozi lia lia kama kina Mangungu, Ahmedi na Try Again.
Kama mmeshindwa kuweka security kwa mawakala wenu kwenye huduma za kusitisha miamala, hii huduma iondoeni inatufilisi mawakala.
Jana mfanyakazi wangu kapigwa 50k tigo pesa, mtu ametoa hela umempa cash, katoka kaomba kusitisha muamala, ikala Kwangu wakala, ujinga huu!
Jana nimemsikiliza kwa makini Hersi akitoa speech pale Ikulu, sikutamani kabisa amalize, very composure and calm.
Huyu jamaa ni big brain, ana kipawa cha uongozi, mama ampe kitengo aisaidie nchi, hadhi yake ni kubwa kuliko kukaa na vilaza huku kwenye mpira wetu unaoendeshwa kihuni huni!
Kwa jinsi wapenda mpira tunavyoumizwa, kuna haja ya serikali kuingilia kati katika uchaguzi ujao.
Tunajua jana TFF waliwaangushia jumba bovu serikali, kotokana na conflict of interest zao, sababu mazingira ya lile tamko lao lilionyesha dhahiri kama waliwatengenezea Bomu serikali liwalipukie...
Yanga wametolewa kafara kukwepa aibu na uozo wa TFF na kamati yake.
Mwanasheria wa yanga kasema mkataba una ingredients zote muhimu za contract, una consent, capacity to contract una kitu muhimu ambacho ni consideration (pesa aliyochukua Morrison).
Sasa Mwanjala hukumu yake haileweki, imeacha...
Yani mda wote watangazaji na wachambuzi kazi ni kupokea simu na kusoma SMS tu na si kuchambua na kudadavua mambo ya soka kiundani kama tulivyotarajia wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawahakikishieni kombe linaenda mikoani....hizi simba na yanga zinapambwa na vyombo vya habari ila kihalisia uwanjan hamna kitu....
Huu ndiyo ukweli...
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wengi wanamtupia lawama kocha, kiukweli kocha hana makosa, makosa yapo kwa wachezaji.
Kwa mfano goli kama alilojifunga Ally Sonzo utamlaumuje kocha!....mipira inafika kwa mastrika hawafungi unamlaumuje kocha!
Tukubali tu walioaminiwa kusajili baadhi ya wachezaji kama yule ndugu wa...
Huyu Zahera uropokaji wake utai-cost timu. Anaonesha dharau za wazi kwa mashabiki; wasipokuwa makini, huyu mtu ataua hamasa yote viongozi wanayoipigania.
Ikumbukwe kuwa 90% ya usajili huu pesa zimechangwa na wanachama.
Uwazi na kutokuwa na kipya kwenye utendaji wenu...
Jitahidin ku-updates mapato na matumizi na kuwa na utamadun wa kuelezea mashabiki na wanachama mikataba ya udhamin mliyoingia na thaman zake na club inafaidika nini kwenye hiyo mikataba...na mfute migogoro na wachezaji...
Muelewe nyie ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.