Wenzao wanakaa wanaumiza vichwa kuandika proposal wao wanatembea na upepo wa wenzao, haya kailalamikieni na Crdb kwa kuidhamini safari ya Yanga afrika kusini[emoji1787]
Makala siyo mzuri kwenye siasa yule mzuri kiutendeji, kwanini wasimrudishe Nape then Makala akawe waziri! Nape siyo mtendaji wala Mwigulu wale wangefaa zaidi kukipushi chama
Waandishi wa michezo Tz ni changamoto! Naangaliaga press za makocha ikifika kipindi cha maswali nazima tv! Just imagine mwandishi anamuuliza kocha wa kimataifa " unawaogopa Yanga"[emoji1787][emoji1787]
Simba wana viongoz waajabu sana, wamevizia yanga walivyotangaza mzunguko bure, wenyewe wakaja na ticket zote sold out[emoji1787][emoji1787][emoji1787]viongoz wa Simba acheni utoto!
Tunajua mifumo ya uchaguzi huru ameshaivuruga, wajumbe wa uchuguzi ameshajaza watu wake, na akikuona tu threat kwenye uchaguzi anakuchinjilia mbali, mfano Shafii dauda na baadhi wengi wameshatupiliwa nje ya mfumo!
Mbona wenzake wote walikuwa wanakaa madarakani kwa term 2!
Kuanzia Ndolanga, Tenga wote walikuwa hawapendi hiyo fursa ya kukaa milele!
Na kama Karia siyo mroho wa madaraka, kwanini asibadilishe katiba na astaafu kama wenzake waliopita na kuheshimu misingi ya utawala bora!
Raisi wa Tff amesema ana muda wa terms 2 za kugombea baada ya kufanya amendment kwenye katiba!
Anasema wanaanzia kuhesabu terms zake pale amendments ilipofanyika, utumishi uliokuwa nyuma ya ile amendment hauhesabiki[emoji1787][emoji56]
Huu ni udeckteta, uchu wa madaraka, haikubaliki!
Huyu mzee alikuwa mzalendo na jasiri sana, hakika tulipoteza kiongozi mwema mwenye hofu ya Mungu, hili Taifa tokea baba wa taifa alivyofariki Makufuli pekee angalau ukimwangalia alikuwa na chembechembe za hofu ya Mungu! Hakika tulipoteza jembe, kama alivyotutabiria tutamkumbuka, na kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.