Nahitaji mbuzi kwa ajili ya kufuga, wakipatikana wanaozaa watoto wawili itakua poa zaidi. Idadi ni 50-200. Mtu yeyote anaeweza kuniuzia au kuniunganisha na muuzaji awasiliane nami kwa namba +255 627 509 498
BARAZA la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, limempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kukubali kuandikwa upya kwa katiba ya Tanzania, huku wakilaani nguvu kubwa iliyotumika kumshinikiza akubaliane na suala hilo.
Tamko hilo lililojaa shutuma dhidi ya makundi ya watu yaliyomshinikiza Rais...
Inspire Consultants itaanza kutoa mafunzo ya CPA
1. Mafunzo yatafanyika WEEKEND NA JIONI (SIKU ZA KAZI).
2. Waalimu: UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM BUSINESS SCHOOL EXPERIENCED STAFF
3. Venue: BIAFRA
4. Kuanzia: 11.1.2010
For more information contact 0713707375
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.