Nahitaji mbuzi kwa ajili ya kufuga, wakipatikana wanaozaa watoto wawili itakua poa zaidi. Idadi ni 50-200. Mtu yeyote anaeweza kuniuzia au kuniunganisha na muuzaji awasiliane nami kwa namba +255 627 509 498
Mtaalam nanasi zinazolimwa pwani zinatoka november-December na May-June baada ya miezi hiyo zinaadimika kabisa sokoni, ukiipata nanasi utaambiwa inatoka Geita..
Wazo langu: Ninahisi inakua hivyo kwa sababu zifuatazo
1. Kwa sababu wakulima wengi mkoa wa pwani hupanda nanasi December-January na...
QUALIFICATION MOJAWAPO UWE MWANA CUF: Kama ni kazi professional, uanachama na udini usiwe vigezo, kama ni kazi ya kichama ilibidi watangaze internally. Au mnatafuta wanachama kwa njia ya ajira
Uko right kabisa Lowasa ni mchapakazi na mimi ninamkubali lakini hafai kuwa raisi, anatakiwa awekwe sehemu ya kuchapa kazi.
Swali: Je wizi ameacha lini na atawezaje kufanya kazi independently huku rostam, patel, ..... wako nyuma yake?
Acha mbwembwe, we si ufuate procedure km unayo decorder ya dstv kisha utaona kinachotokea, darasa kuwa zuri inategemeana na uelewa wa mwanafuzi pia co ticha tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.