Matokeo ya kidato cha nne hayakua mazuri ila nina B-english,C-kiswahili na C-biology.Niko tayari kwa shule yenye nafasi nzuri yenye kufaulisha wanafunzi wa kidato cha sita na yenye mazingira mazuri ya kusoma.
Ikiwa hapa Dar es Salaam ni vizuri na nipo tayari kwa mchepuo wa ARTS.
Wakuu naomba msaada kwa wenye ufahamu kuhusu ununuzi na uuzaji wa hisa.Nitashukuru kama mtaniwezesha kujua kampuni ambazo hisa zinanunulika na kuuzika kwa urahisi, kwa muda mfupi na kwa faida nzuri.
Ningependa kufahamu pia ni kwa jinsi gani naweza kufaidika kwa ununuzi wa vipande vya UMOJA FUND
Salaamu wakuu!
Ninaishi Dar es Salaam,natafuta msaidizi wa kazi za nyumbani mwenye sifa zifuatazo;
Mwenye umri si chini ya miaka kumi na tano wala zaidi ya miaka 20
Anaejua kusoma na kuandika
Napendelea wa kutoka mkoani hasa mkoa wa Iringa
Awa smart na sharp
Nitashukuru pia kama mnaweza...
Nafikiria kuanzisha day care hapa Dar lengo hasa likiwa ni kwa ajili ya watoto ambao hawajaanza shule.
nimepata tu wazo ila kwa kweli sijui ni wapi ntatakiwa kuanzia namaanisha kwa vitu kama kujua mambo gani ya muhimu ya kuzingatia,leseni,location,changamoto na mtaji wa kuanzia unawezagharimu...
It is my first time joining JF,I have gone through different threads/topis from when it started and find it more advanced,interesting and a nice web share different ideas and with my case ..... all about busness and economic ideas.
Thanks to the founders!
Cheers:cool:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.