Subiri akikufia ndio utajua hujui...mapenzi sio vita jamani. Kaa nae chini mwambie kwa upendo...vurugu zipo ila sio mpaka za kung'atana na kutoana damu khaa!!!
Namfahamu vizuri, ndugu zake walijichanga wakamjengea mama yao nyumba. Mama akamuita jamaa aje na mkewe waishi nae baada ya kuona maisha yamewachapa, alichofanya akaiba documents za manunuzi ya kiwanja akaenda kutengeneza hati miliki kwa jina lake halafu akawa anatumia hati kudhamini watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.