Bi Caslida (50years) alikuwa kwenye Chuo cha Uchungaji kinachomilikiwa na Askof Gwajima amezidiwa na sasa amekimbizwa Mhimbili.
Tatitizo lake ni kuvimba tumbo na anasema amepata madhara hayo baada ya mfungo wa siku kadhaa hapo chuoni na kwamba amechelewa kufika Hospitalini
KWA SASA HANA...
MWAKA HUU 2017 KUTAKUWA NA MATUKIO MENGI SANA:
1.MZEE WA UPAKO AMEONEKANA NA KUPIMWA AKIWA MLEVI CHAKALI.POLISI WAMEPIMA UELEVI HUO LAKINI HAWAJACHUKUA HATUA YOYOTE
2.MAKONDA PAUL NI MUUMINI WA ASKOF GWAJIMA NA WOTE NI WASUKUMA.KAMA KIONGOZI WA DINI GWAJIMA ANA SIRI NYINGI ZA MAKONDA.GWAJIMA...
Tangia jana Traffick Mkoani Dodoma wanakamata Magari na vyombo vingine kwa kukosa Sticker ya Usalama barabarani
Jambo la kushangaza Sticker hizo hazipo Polisi
Madereva wakienda kukata wana ambiwa zimekwisha
1.Sticker hizo ni Kati ya Tshs3000
2.Dereva akikamatwa ana ambiwa alipe faini Tshs30,000...
1. Mch Antony Lusekelo , anayejiita Mzee wa Upako amethibitishwa na makao wa makuu ya Polisi Dar kuwa alikuwa na ulevi wa kupindundukia.
2. Taarifa zisizo na Shaka na video zimeonyesha wazi kuwa Mch.Antony Lusekelo alionekana amelewa chakali huku anatukana matusi mazito manayeshewa mvua na hana...
Wakati wa Kampeni Engineer Gernvance Lwenge alikuwa anawambia wananchi wa Wanging'ombe kuwa wampe kura ili apate kuteuliwa uwaziri ili apate kuteuliwa na Mangufuli kuwa waziri wa ujenzi .
Lwenge aliwahi kufanya kazi Tanroad hivyo alikuwa anatamba kuwa Mangufuli ni rafiki yake sasa Nafasi ya...
Kuna Mjadala unaendelea juu ya Ada Kwa Shule za Sekondary na Msingi
(1) Serikali ya Mangufuli imetangaza kuwa Ada kwa Shule za Serikali imefutwa lakini barua za Shule hizo bado zinasistiza ada.
(2 )Ada kwa Shule za Primary International ni kati ya 1.2m hadi 2.5m.
(3) Ada kwa Shule za...
Upo Ushahidi wa Kutosha kuwa Wapo Wafanyabiashara amabo walichangia pesa Kampeni za Mangufuli , ila Mangufuli alipo ambiwa wakati ule alikataa na kundi hilo likatafutiwa utaratibu mwingine.
Ukitaka kujua hili muulize Lukuvi na huyo anaye endelea kusafili nje ya nchi!!
Ipo siku Bomu hili...
RAIS mpya wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameambiwa kama ni kweli amenuia kukomesha biashara ya madawa ya kulevya nchini, basi awashughulikie wafanyabiashara wakubwa wanaoingiza bidhaa hiyo.
Anaweza kuanza kwa kuifanyia kazi orodha ya wafanyabiashara 104 magwiji wa madawa hayo, orodha ambayo...
(1) T.B Joshua alitabiri kuwa Lowasa atashinda kwa Kishindo Urai 2015.
(2) CCM wakasema Lowasa amefuata Uchawi Nigeria.
(3) Wakati wa Kura za Maoni CCM wakakata Jina la Lowasa ili kufifisha Ndoto ya Urais.
(4) Askof Gwajima akajitokeza na Kumshawishi LOWASA ahamie UKAWA.
(5) Rais Johnathan...
NBAA wamefanya mabadiliko ya Ukumbi wa kufanyia Mitihani ya NBAA Nov 2015 ambayo ina anza Wiki ijayo
Kituo kimehama kutoka CCT-Dodoma kwenda CBE Dodoma Cumpus New Hall
Kila mdau amwambie Mwenzake
Pia unaweza kuangalia kwenye webe site yao
Waziri Mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya Richmond,Edward Lowassa, amesitisha ghafla ziara yake ya kutafuta wadhamini mkoani Njombe iliyokuwa aifanye leo na kulazimika kulala Iringa. Haijafahamika sababu za kusitisha ziara hiyo. Tangu saa sita mchana vijana wa bodaboda na wananchi waliokuwa...
Hivi Lowassa anawaza nini hapa?? waliosomea saikolojia watusadie
Naomba wale viongozi wa Dini wanaomuunga Mkono Lowasa msadieni kutatua ,Mambo yanayomsumbua Lowasa na Kama hali hii itaendelea ni hatari!!
Hoja hapa Kuna nini Ndani ya Moyo wa Lowasa???
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI
HABARI YA UPOTOSHWAJI ILIYOANDIKWA NA GAZETI LA NIPASHE KUNIHUSISHA NA KASHFA YA MABEHEWA FEKI YA TRL
JOTO la uchaguzi mkuu limezidi kupanda baada ya Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk...
ZIARA ya Waziri Mkuu mizengo Pinda Mkoani Mbeya, imezua utata kwa waandishi wa habari, kutokana na kile kinachoonekana kuwepo kwa ubaguzi kwa vyombo vya habari kutohusishwa katika ziara hiyo.
Utata huo umeibuka jana, katika kikao maalum kilichoitishwa na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya...
Watendaji wote wa Tume ya Uchaguzi na msajiri wa Vyama vya siasa wanateuliwa na Mwenyekiti wa CCM ambaye kwa sasa ni Rais Kikwete . Namba maswali haya yajibike Mapema Kabla wananchi hawajakasirika.
1.Tume ya Uchaguzi inawezaji kusimamia uchaguzi ambao mgombea ni Rais Kikwete??
2.Wakurungenzi...
Kakobe amlaumu Kikwete
Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe, amemshambulia Rais Kikwete kwamba ndiye aliyevuruga mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya.
Kakobe amewataka wajumbe wa UKAWA kutorejea katika Bunge Maalum la Katiba ambalo alidai limejazwa...
Wakuu Nasikia LeoJumamosi Saa Mbili Asubuhi Kuna maandamano Barabara ya UDSM Yana anzia Chuo Cha maji Engineering
Tunaomba mliopo huko mtujuze!
Up date:
Kesho tunaanza rasimi matembezi ya shukrani kwa MUNGU wetu kutupitisha kwny mabonde na milima ya Imani matembezi yatakayo anzia viwanja...
CHAMA cha Waandishi wa Habari mkoa wa Mbeya (MBPC) kimepata aibu ya mwaka baada ya Katibu wake,Emanuel Lengwa ambaye ni mwandishi wa habari wa gazeti la NIPASHE kutwangana ngumi na Mweka Hazina wa MBPC,Brandy Nelson ambaye ni mwandishi wa gazeti la MWANANCHI ofisini wakati wa kikao.Sababu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.