Hongera Radio imani
"MESSEJI IS SENT"
Kuna mtu anadai Radio imani haina wasikilizaji wengi .
Coverage yake inakaribia "Radio free africa ya mwanza na inawasikilizaji wengi kuliko radio yoyote Tanzani
MIKOA AMBAYO RADIO FREE INAFIKA NA PAMOJA NA DAR ES SAAM,PWANI,MOROGORO,TANGA...
The point here is the Muslim invented Coffee and spread to the rest of the world, it doesn't matter weather from middle east or from Ethiopia.
International coffee organization/The Story Of Coffee
"From coffee to cheques and the three-course meal, the Muslim world has given us many innovations that we in the West take for granted. Here are 20 of their most influential innovations:
(1) The story goes that an Arab named Khalid was tending his goats in the Kaffa region of...
Naomba nitoe angalizi huyu kijana wetu zitto huku kigoma tunamkubali sana,kama kuna njama za kutaka kumtanguliza ahela tunaomba zisitishwe.tutafanya dua maalum kumuombea kwa mungu amuepushe na maadui wa kila aina.hatuto kubali kuona yaliomkuta chacha wangwe yanamkuta zitto.tumesha wasitukia...
UNAJUA BONGO NI NCHI YA WOTE,KUNA WAGENI WENGI na UHAMIAJI WANATAARIFA
WACHINA,WAHINDI,WASOMALI ,WAKONGO,WATUSI ,MAKABURU,WAARABU.WAMEJAA ,HAWAJULIKANI WANAFANY NINI ?
UHAMIAJI WANAENDA WANAVUTA kitu kidogo .
Inawezekana maofisa wetu walidaka kitu kidogo jamaa kaishi ,
Ila inawezekana...
Dar es Salaam. The Australian man at the centre of the worldwide storm over leaked top secret United States' diplomatic cables posted on the Internet has stayed in Tanzania in the past.Government authorities said yesterday that they were on the alert over an International Police (Interpol)...
mkuu yani uliyoyasema nimeyakubali kabisa na nina kubaliaza na wewe huyu jamaa ni mnafiki
kuna tetesi ambazo mimi sijazithibitisha huyu jamaa yeye na kapuya walishindwa uchaguzi 2010,walichakachua,kama kweli ,kachakachua kura ili aje kuchanganya watu?
mimi kiukweli kabisa huyu jamaa mimi...
Sikazi rahisi Rahisi kupunguza maneno ya kiarabu kwenye kiswahili kwa sababu maneno ni mengi sana kiasi kwamba unaweza ukapewa PHD ya heshima endapo utafanikiwa kufanya hivyo.
Ngoja niwaongezee maneno mengine 11 ambayo kila mmoja wetu anayatumia kila siku,Haya maneno tumeyachukua kama yalivyo...
NILINUNUA LAPTOP KWA HAWA JAMAA NILILIPA KWA WESTERN UNION ,LAPTOP NILIPATA NA NDIO NINAYOTUMIA
Tanzania Laptops. Laptops Direct to Tanzania from USA Notebook.
Kama kuna kitu kimeniuzi katika baraza la mawaziri la raisi kikwete ni kumuweka huyu jamaa.ilitakiwa hivi sasa mvua zinanyesha analima tumbaku urambo,anasubili kikao cha bunge mwakani.
Kikwete amuangalie atakuja kuvujisha siri za vikao vya baraza la mawaziri kwa sababu bado ana kisasi cha uspika
ninavyo fahamu mimi neno fisadi limetokana na neno la kiarabu(FASIDI) likiwa na maana kufanya uharibifu ,
Qur-an 2:11"Na wanapo ambiwa:Msifanye ufisadi ulimwenguni. Husema: Bali sisi ni watengenezaji"
When it is said to them: "Make not mischief on the earth," they say: "Why, we only want to...
Lugha ya kiswahili ilianza takriban miaka 800-1000 iliyopita,Kiswahili ni sarufi na msamiati wa Kibantu pamoja na maneno mengi ya Kiarabu. zaidi ya theluthi moja ya maneno ya Kiswahili yana asili ya Kiarabu.kuna maneno machache ya kiajemi,kihindi ,kireno na kingereza.
waswahili bado...
Wana JF mimi nilimaliza UDSM BSC Comp Engineering,
Form 4 DiV I point 8,Form 6 Div I point 3,FOE GPA 3.0.
Nilivyoingia FOE ,nilijipanga kuweka first class.Mambo yakawa tofauti.Nilishukuru hata kumaliza Chuo.Yupo jamaa yangu wa karibu alidisco mwaka 3.Alingia chuo na point 4 za form 6.
Wana JF naomba msaada,Mimi sielewi kwa nini Wanasiasa wengi siku hizi wanapewa PHD na vyuo mbalimbali Mfano:DR.Amani abedi Karume,Dr J K Kikwete
Leo nimeona kwenye TV Uongozi wa UDOM ukimkabidhi Kikwete na Mke wa Kawawa PHD.
Hivi ni lazima Kila mwana siasa kupewa PHD.Je kupewa PHD na vyuo ni...
OIC:Hamna kuna tatizo kwa Tanzania kujiunga na OIC.Wizara ya mambo ya nje ya Tanzania ilishafanya utafiti na Kuconclude kwamba hamna tatizo lolote.,na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa JK, Dk Bernard Membe alitangaza wazi wazi mbele ya waandishi wa habari (23 October...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.