Energy cannot be created nor destroyed but can be changed from one form to another. Is there death if the energy never dies? death change energy from one form to another
Nenda Driving school kwa muda wa mwezi mmoja. Inaweza kukugharimu angalau laki mbili lakini ukimaliza utakuwa na ujasiri wa kuingia barabarani pamoja na mambo mengine ya usalama barabarani.
Mitambo inayojengwa Madimba mtwara vijijini ni mitambo ya kusafisha gesi ( processing facility) na siyo mitambo ya kusukuma gesi. hatuhitaji mitambo ya kusukuma gesi kwani gesi iliyopatikana Tanzania ina pressure kubwa inatosheleza kusafirisha gesi hiyo. Product kubwa inayopatikana baada ya gesi...
Applications are therefore invited from qualified candidates for
scholarships to pursue Master of Science in Petroleum Engineering and
Petroleum Geosciences (2012-2014). The scholarship provides for Students from Tanzania to spend one year at NTNU in Norway and the second year at the...
Naomba mniwie radhi kwa wawe ambao nitawakwaza.
Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto mmoja au wawili, asiwe na umri wa zaidi ya miaka 38. Tafadhali kama unahitaji hilo naomba uni-PM. Sababu za hitaji langu na jinsi ya kutunza watoto/mtoto tutafahamishana baada ya kupata PM yako. Pia taarifa...
Ni mkazi mmoja wa mkoa wa Pwani, kama alivyonaswa na kamera ya mpiga picha wa magazeti ya Serikali, akinywa maji baada ya kuzidiwa na kiu, maji ambayo....! (sidhani kama ninahitaji kuandika lolote maana ni mengi yatokanayo na picha hiyo, kuanzia usalama wa afya hadi nani alaumiwe kwa kushindwa...
Kama wameshakupa internet accounting ID na password, then unaweza kupata huduma zote za internet banking ambazo ni kuhamisha fedha kutoka kwenye account yako na kwenda kwenye account ya mtu mwingine wa CRDB pekee, hawatoi huduma kama huyo mtu anayemtumia hayupo CRDB. Hii huduma nimeitumia mpaka...
1) Hakikisha huyo unayetaka kumtumia fedha umemsaji : Ukiwa ume-login kwenye internet banking page yako, upande wa kushoto chagua PAYEES - New third party hapo mtamsajili huyo unayetaka kumtumia Jina lake na Account yake.
NOTE: CRDB account ina herufi "J" hii ni herufi kubwa, ukiweka herufi...
Vyombo vya habari vimetuonyesha katibu uenezi na itikadi wa chama cha mapinduzi (CCM) ndugu Nape Nnauye akiwa katika ziara ya kikazi pale University of Dodoma (UDOM).
Mambo aliyoyafanya ni pamoja na kukagua majengo na miundombinu ya Chuo lakini pia alitoa maagizo kwa uongozi wa chuo...
kweli mwaka huu tutaona mengi.Hivi CCM kila mtu au juimuia ina haki ya kujisemea jinsi inavyo jisikia? hakuna utaratibu wa kutoa matamko? kweli CCM imefilisika.
KAULI YA KATIBU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU
VITENDO VYA JESHI LA POLISI KWA RAIA
NA
KUKAMATWA KWA WABUNGE WA CHADEMA
Katibu wa Wabunge wa Kambi Rasmi ya Upinzani inayoongozwa na CHADEMA nalaani vitendo vinavyofanywa na Jeshi la Polisi kwa kusababisha mauji ya raia na...
Kuhusu suala la fedha hiyo ni haki yako kujua mapato na matumizi vinginevyo hiyo biasha inaweza kufa na hasara itakuwa kwa familia na siyo kwa mke wako. Kinachotakiwa ni kumuelimisha mkeo juu ya umuhimu wa kukagua hiyo biashara tumia lugha nzuri, ukiona anaendelea kukataa jua kuna mchezo...
CCM walitumia hizi fedha kufanyia kampenzi zao, hizo kampuni ni mali ya vigogo wa CCm na serikali. Nimeamini ufisadi ccm upo kwenye damu na dawa ya nyoka ni ku-muua na siyo kujivua gamba. 2015 ccm lazima watoke madaraka hata kama ni mapambano kama Libya.
Elimu ya udakitari ni ngumu, inahitaji watu wenye uelewa mzuri wa masomo ya sayansi na inachukua muda mrefu kuipata. Wanawake wengi hawapendi masomo ya sayansi kutokana na changamoto zake na hii ni kwa mataifa yote duniani japo kwenye nchi masikini hali ni mbaya zaidi.
Mkuu hujawatendea haki hili kundi la wanawake ambalo umelishutumu. Kumbuka mapenzi yalikuwepo hata kabla ya elimu hivyo huwezi kutumia kigezo cha elimu kupima ufanisi wa mapenzi. Mepenzi ni mahitaji ya mtu binafsi kulingana na matakwa ya moyo wake, ndio maana kila mwanadamu ana haki ya kumchagua...
Mkuu umeeleza vizuri sana lakini hapo nilipo weka rangi nyekundu imeharibu post yote. Kiongozi anaweze kuweka marafiki zake madarakani na wote wakawa wametoka katika dini moja hii haina maana wametumwa na dini fulani na huwezi kuhusisha dini hiyo na hawa watu kwani wamewekana kwa maslahi yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.