Kama kichwa cha habar kinavyojieleza, sijajua shida iko wapi na wanakosa nini na kwanini hawaridhiki na maisha na uwezo walionayo yeye na mwenzie[mume wake]
Uhandsome ni moja ya sifa kati ya sifa chunguzima, kwahiyo km ww ni handsome jitahitahidi kuongeza sifa zingine km vile utafutaji pesa,mazoezi[kuwa na mwili wa kiume], mipango ya mda mfupi na ya mda mrefu mpenda maendeleo pamoja na kujua kutulia kwa yule umpendae[ubavu wako] kiujumla sifa ni...
Hakika nahesabu kama ni hasara sana kwangu maana kila ninapomtokea demu kadri tunapoendelea kufahamiana kumbe nagundua ni bonge la tegemezi japokuwa wengine huonekana kuwa wagharama sana kwa muonekano lakini baada ya muda naanza kupigwa mizinga wakati mwingine hata kabla ya kutangaza nia sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.