Farhia hyu ananikuna balaaaa,kumbeñ weng waga tunawaza eee mwenyewe hnina zawadi yake et, napenda anavyo tangaza ama hakika anatangaza uzur balaaa!!!halafu anatabasum mhuuu,angalia hasa wakat anakaribishwa kusoma habar za biashara duuu!!
Ndege ya Marekani yakamatwa Zimbabwe ikiwa imebeba mamilion ya pesa na maiti ya mtu mmoja, nini nia ya wa Marekani kufanya hivi?
============
Body discovered after BLOOD dripped from US plane with millions of rand stuffed in hold was 'stowaway' who had boarded previous flight
A body...
Mbona yuko sawa tu bana tena hyo meck bas tu huwez kuwa mkuu wa mkoa tena dar yenye mapato makubwa kias kile na una mkoa mchafu nadhani kuliko yote hapa nchin maana yake nn? Hakuna kitu hapo nae ni jipu tu,kauli nzur sana hiyo,rais anajua kila kitu mpaka kutoa kauli hiyo
Huyu jamaaaa angeacha tu kuimba,ilikuwa dhamani ka makimga,sindelela nk....lakin saiv kiba ningeshauli atulie kwa mda flani halafu aje upya tena kwa sasa hakuna kanisa nyimbo zake haz heat ila komaaa kaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.