Kama kichwa cha habari cha uzi huu kilivyo, ndivyo Antipasu alivyobobea kwenye eneo hili....!!! Anaweza kutumia kukosekana kwa nukta juu ya herufi "I" kupora haki ya mwenye haki!!!
Iran, on the other hand, is one of the world’s top developers and manufacturers of advanced missiles, drones, and other weaponry, which has proven more than a match even for military systems possessed by the US, and produced at a lower cost (a former advisor to Israel’s chief of staff complained...
It was also made clear during the call that any retaliatory action by Israel would not be supported by Washington, the American outlet reported.
===
Muziki ulikuwa mkubwa...! Iran si Libya.
...hawajachelewa Hata muda huu wafanye kama alivyofanya Iran kurusha makombola kutoka ndani ya aridhi yake. Israel ndiye muoga anatumia mbinu za KIGAIDI!!!
Kweli u-gaidi...!! Ndiyo maana unashabikia Israel na Ukraine kuua raia wa kawaida na watoto.
Kwa taarifa yako Iran wanatumia akili, hawatumii mihemko! Pia kwa namna fulani wanautu Hata wafanyiwapo hiyana! Malengo ya Iran Ilikuwa kupiga Kambi za Kijeshi ndani ya Israel. Kwa taarifa za uhakika...
Asante sana kwa kueleza ukubwa wa changamoto...Hata hivyo, najua una maanisha nini unapoandika "...tumezubaa sana...". Maana hiyo itafanyiwa kazi kwa manufaa ya wote.
Naam, ni ushauri mzuri lakini kamwe sitatumia furusa zinazowadhoofisha watanzania wenzangu na Afrika wanaopigania maendeleo na Uhuru wa kweli wa kiuchumi kutoka kwa ukoloni mambo Leo.
Bali ujue Afrika na wa Tanzania tutapata Uhuru huo, unataka ama hutaki hivi karibuni au baadaye!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.