Hapana naona unamsema Mwenyekiti Freeman E. Mbowe mafumbo ya Maswali!! Kuwa makini, huyo ni shida ..waulizwe walioshuhudia wenzako waliocross mstari wa jamaa kilichowakita!!!
Wanafanya kusudi hao wakopeshaji...lengo tu ili endelee kuwa mateka wao wa kuwakopa maana washakuchafua kwa jamaa zako lazima kurudi kwao kukopa.
Kudhibitisha hilo, mwenzetu hapo katueleza kuwa PS wao alilipa deni lakini bado wakamtangaza kwa jamaa zake hajalipa.
Binafsi nimeshangazwa na timing ya interview ya Jenerali, why now?? Na si wakati ule ama wakati ujao?
Kwa nini hasa.
Nikija kwenye hoja "busara" ilitumika badala ya taratibu za kikatiba kama kumuapisha baada ya 24 hours... Maswali yanaongezeka.
Ndiyo maana nikashauri tujikite kwenye mema tu...
Sawa kabisa nakubali, lakini kwenye maelezo ya Jenerali (kama nimemsikiliza vizuri), hakuna mahali ameonyesha kujaribu kuwauliza madaktari juu ya kumruhusu mgonjwa arudishiwe nyumbani! Na wao kusema abaki kwa sababu hii ama Ile!!
Ndiyo maana mwanzo timing ya mahojiano imekosewa cha msingi...
Wale madaktari ni askari ama si askari? Kwenye hiyo, hospitali wanafanya kazi madaktari wa kawaida kweli mahali ambapo, CDF mstaafu anasema si rahisi kwenda, ona Hata Mama Janeth 'hakuruhusiwa' kwenda huko(kwa mujibu wa maelezo ya Jenerali, Mama hakuwa hospitalini)!
Bado unadhani wale ni...
Ushawishi wa Marekani unalegea
===
Authorities in Niamey have decided to revoke the agreement with the US which allowed American military personnel and Pentagon's civilian contractors to operate in the West African state, a spokesman for the post-coup government announced on national television.
Kama kawaida yangu. Nimeisoma yote hiyo habari na baadhi ya nukuu kutoka kwenye habari hiyo na mchango wangu juu ya nukuu hizo:
1. Still, the latest election, which concludes on Sunday, provides an occasion to assess the state of Putin’s rule and how it has weathered two years of war.
****...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.