Inasemekana na Zenji, maalim Seif Shariff Hamad alikuwa ameshinda kiti cha urais akalazimishwa kukubali matokeo na JK na jeshi ndipo akaanguka saini kukubali ye ni wa pili, kuepusha usalama wake na maafa kwa Wazanzibar, uku akiahidiwa dili kedekede.
Na ndo maana maalim siku ile alipotangazwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.