Mkuu safi sana kwa huu mrejesho. Tunaomba basi utusaidie kumuuliza route waliyotumia kufika huko maana hata mie nimeskia wazanzibari wanaingia huko kiurahisi sana.
Wakuu habari,
Naomba niulize kama kuna mtu anajua ngazi za mishahara kwa watu wa data entry kwa hawa jhpiego kwani nimeitwa kwenye interview na hicho ni kipengele ni muhimu kukifahamu.
Mkuu kwa hiyo bei unauwa.... Me nna nyumba inapangishwa victoria.... Ipo kwenye eneo kubwa.... Inafaaa kwa ofice.... Ina vyumba vitatu viwili master. Sitting room. Dining room na jiko. Ipo kwenye eneo tulivu na salama.. Bei kwa mwezi milion 2!!!
wakuuu naombeni msaaaada tafadhali..... kuna mtu ameihack email yangu ya yahoo... amebadilisha kila kitu from my password, security question na altenative email niliyoiweka.... nashindwa kujielewa nifanyaje maana email zangu zote za kiofic na binafsi zipo humo......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.