Nyumba inauzwa eneo la Ukuni Bagamoyo. Ipo planned area Ukuni Bagamoyo. Kiwanja kina hati. House designed for middle class family. Ina vyumba vitatu vikubwa,(one self contained). Kiwanja kina ukubwa wa sqm 1009 na kimejengwa nusu, nusu nyingine imebaki for future use.For any serious buyer call...
Habari wana JF
Natafuta kiwanja eneo la Goba Dar Es Salaam chenye ukubwa wa medium au low density, pia kisiwe kwenye mwinuko mkali. Mwenye kuwa nacho anipm pamoja na bei anayokiuza.
Natanguliza shukrani.
Nimekuwa muumini mkubwa wa Mwalimu Nyerere baba wa Taifa hili kwenye mambo mengi aliyofanya Tanzania wakati wa utawala wake. Kama mtanzania mweusi wa Taifa la Tanganyika naomba tu nilikili kuwa katika vitu ambavyo Mwalimu aliboronga katika utawala wake, ama kwa makusudi kabisa au kwa wivu wake...
I was shocked, niliposoma kuhisiwa Kagame na CIA kuhusika kwa mauaji ya huyu former Mkugenzi wetu wa TISS. Kipande cha report soma hapa chini na ukitaka report nzima kuhusu oparation za CIA na Ushiriki wa Kagame na Mseven in great lakes.
Report kamili kuhusu US policy on Africa - Blood Money...
Mimi naona hapo Mamvi kimoyomoyo anasema.. Kijana nitakunasa vibao mimi, shukuru tupo katika hii kadamnasi. Harafu Sumaye naona kama anacheka vile. Serukamba kwa nyuma anazomea ..mmmmmmmh Mnafiki huyo. Wadau ebu leta maneno kwenye picha hii
Niko Dar naomba msaada mwenye hiyo program anisaidie nahitaji kwa ajili research yangu. I need any version but i will be more grad for latest one. We can negociate for payment contribution.
Hii picha inaonyesha kikao kimojawapo muhimu katika maandalizi ya Bunge huko Dodoma. Katika viongozi waliokaa hapo, anaonekana katibu wa Bunge, Spika, Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na Makamu wa pili wa rais wa Zanzibar. Nataka kuuliza hivi makamu wa pili wa rais wa Zanzibar hapo...
This opinion is exclusive for Tanganyika's..
Eti wana jukwaa la siasa katika muungano huu wa serikali mbili upande wetu huu wa Tanganyika kupitia ofisi yetu ya Waziri mkuu Tawala za mikoa na Serikari za mitaa tukiamua kuipa hadhi mikoa yote ya Tanganyika kuwa na serikali zao na wakuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.