Jana kwenye vyombo mbalimbali tulimuona Mrema (Mbunge wa Vunjo anayemaliza muda wake) akimnadi mgombea wa uraisi kupitia CCM bila ya kujali kama chama chake (TLP) kimesimamisha mgombea wa urais, sasa hii inamaanisha nini? Je mgombea waliomsimamisha hana uwezo wa kuongoza nchi? Na kama jibu ni...
Ni muda umepita bila kusikia chochote kutoka kwa mgombea mwenza wa Lowasa ambaye ni Haji Duni (Babu Duni), je anaendelea na kampeni kimyakimya au vp? kwa anayejua hebu atujuze hapa tafadhal
Hivi karibuni tumeona baadhi ya wanasiasa wakitumia muda mwingi sana kuongea mabaya wa watu ili wao waonekane ni bora kwa jamii, unakuta mtu anapanda jukwaani lakini cha kushangaza mpaka anashuka haelezi sera zake bali kuponda vyama vingine.
Nadhani watu wanaokuja kwenye mikutano ya kampeni...
Sidhani kama ulimeikiliza Dr. Slaa kwa umakini, hakusema alikutana na Mwakyembe kwa ajili ya kufanya utafiti, kabla ya kuandika hapa ungejiuliza kwanza kama kuna utafiti unaoweza kufanyika ndani ya masaa machache na kupata hitimisho?
Dr alikutana na Mwakyembe kwa ajili ya kupata nyaraka ambazo...
Acha kuwa na mawazo mepesi kiasi hicho, kwani huamini kama kuna watu wa cdm wamebadili mawazo
yao baada ya kusikia kile kilichosemwa na Dr. Slaa? Jaribu kufikiria zaidi mkuu
Mkuu kula mihogo inawezekana ni lugha ya picha inayoakisi ualisia wa maisha ya mtanzania wa kawaida, Hata sisi wenye maisha ya kawaida huwa kuna kipindi tunakula vizuri, so hiyo picha isiwe ndio mwisho wako wa ku conclude kama Dr. Slaa amedananya umma
Sidhani kama hilo lingewezekana, Lowasa atoke kugombania uraisi then ahame chama aje kuwa mwanachama wa kawaida? Si bora angeedelea kubaki CCM.
Hebu tujaribu kufikiria zaidi ya hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.