Nilikuwa operation miaka 30 ya uhuru Makutupora. Kuna magumu mengi na pia kuna mafunzo mengi. Nikikutana na nilokuwa nao shule na chuo huwa nafurahi but nikikutana na nilokuwa nsye jeshini huwa nafurahia zaidi maaba ni jambo la onky 1yr lkn lenye kumbux2 nyingi.
Ni kanisa la abandant life christian fellowship ndo limeungua. Lilikuwa makuti style. Radi imepiga likaitika. Poleni mlioathirika. Binafsi nilipita nikaona linateketea.
Kuna cku tulinunua take away chips kuku aljazira nikiwa na brother wangu. Mwenzangu ktkt ya chips kakutana na nywele. Mimi nikakutana na bawa la mende. Hapafai
Nadhani mtoa mada alitaka kueleza mapungufu ktk makutani ya barabara. Hawakuwa wabaweka nafasi ya kutosha kumwezesha dereva kukata kona. Hii inafanya aidha magari kugongana au kupinduka wanapojaribu kukwepana.Mf mbuyuni makutano na barabara iendayo salasala. Etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.