Ni kweli mkubwa. Huo ni ukweli mtupu. Tusipojisahihisha tutaishia kulalamika na kutukana tu. Inasikitisha mada nzuri kama hii hakuna wachangiaji. Tuendelee kuelimishana.
Makamba anahusika kichama kwani anawatangazia wabunge wa CCM wanaotaka kugombea nafasi hiyo wachukue fomu. Mimi sioni kosa kwenye hilo kwani ni katibu wa CCM.
Kwa uchunguzi wangu ushindi wa CCM unafanikiwa kutokana na idadi ndogo ya wapiga kura wanaojitokeza kuchagua viongozi wa Taifa letu la Tanzania. Ukiangalia vizuri idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura ni ndogo sana ukilinganisha na waliojiandikisha. Pia kwa uchunguzi wangu wanachama wa CCM...
Ni kweli kabisa m2 wangu. Shida ni kwamba watanzania wanakata tamaa mapema,wanaamini raisi anajulikana hivyo hawapigi kura. Mimi nachukulia kwamba hiyo idadi ya watu ambao hawajapiga kura ni kura za upinzani zimepotea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.