Waombaji wa Mkopo kwa kujisajili kwa njia ya mtandao kuwa uwezekano mkubwa kukosa mkopo.
1- Waombaji wamekuwa wanalipa pesa kama inavyoelekwa kuipitia mpesa na tigo pesa bila ya mtandao wa bodi kumruhusu mwombaji kuendelea na hatua nyingi.
2- Ukipata bahati ya kuendelea unakwama katika unabaki...
Hivi wizara ya elimu inamakosa gani.?
Mbona manaibu waziri wa serikali hii elimu yao siyondogo lakini je wanao ueledi wa kusimama mbele ya tendaji wa wizara hiyo waliyobobea katika elimu.
Naanza kuhisi kitu,Matokeo mabaya je ni tatizo la siasa zetu.?
Mh.Mulungo aliambia anayo cv ya kuunga na...
Ya Leo kali. jamaa yangu anauguliwa pale hospitai ya Muhimbili @ MOI wameishiwa dawa ya usingizi na wagonjwa hili wafanyiwa upasuaji lazima wapatiwe dawa ya usingizi .Kwa sasa dawa hizo hakuna.Twafa bajamee
Sakata la gesi Mtwara.
Akili ndogo kutawala akili kuwa,ndicho chanzo cha sintofahamu ya gesi mtwara.
Akili ndogo inaanzia bungeni'
- Bajeti wa wizara ya nishati na madeni kuailishwa mala kwa mala.
- Ilikuwa isomwe tarehe 17/5/2013 ikasogezwa mbele kwa nini.?.
- Ikasomwa tarehe 22/5/2013...
Japo nimefailia mchakato mzima wa matokeo ya urais marekani.Rais B. obama kuibuka mushindi.
Swali langu ni nani kamtangaza obama kuwa ni mshindi?
Je ni vyombo vya habari ndo vimemtanza mshindi.?
Jamani kuku kamaliza debe la mahindi,Niliaaza taratibu kumlushia mbegu za mahindi nilishutuka debe limekwisha ,hivyo hivyo kamaliza debe la karanga.Kuku huyu sasa kanenepa sana kapendeza sana na anavutikia kila kona anakopita.Kuku huyu kila inapofika siku ya kuliwa au kuchinjwa,utasikia kuku...
Kutoka na vitendo vya ngono kushamili chuo ya biashara CBE Dsm. Namatokeo mabaya wa wanafunzi wa kike . NImarufuku kuvaa suluari za mchina zinazobana na kuonyesha maumbile yake.
NImarufuku kuvaa siketi fupi .Nimarufuku kuvaa nguo inayobana mwili . Kazi hiyo wamepewa walinzi wagetini hakuna...
Nimepata habari juu juu kwa msg kuwa kumetokea majanga la kufa kwa watu huko mererani.
Wadau wa Arusha na manyara tujuzeni kama kuna janga lolote la kufa kwa watu.
Tumedhubutu,Tumeweza na Tunasonga mbele.
Kauli mbiu hii ya kinafiki.Aiwezekani kutembea unaimba kauli hii wakati huduma za afya bado duni.
Ndg tembelea Hospital ya RUFAA MUHIMBILI kajionee wodi ya wanaume SEWA HAJI KAJIONEE HALI MBAYA YA HUDUMA,
Wagonjwa wamelazwa chini kuanzia mlango kwenye...
Ndugu, Mwezi huu nawa kumi sijawai hona au kusikia kila mtu akisema hali mbaya sana.
UKATA, huu nimeufanananisha na Mamba kutoka majini na kwenda nchi kavu kula majani.
Jpili moja nimetoka kanisani napokea msg tatu za jamaa tofauti wakiomba niwatoe wakipata watarejesha,wakwanza laki 3,wapili...
Mtoto Cecilia alitangazwa hivi karibuni na Vituo mbali mbali vya habari akiomba msaada wa kusaidiwa pesa za matibabu ambazo zingeweza kumwezesha kufanyiwa operesheni ya moyo ambao umempelekea mpaka Tumbo lake kuvimba kama unavyoliona.
Taarifa za Cecilia ziliweza kutolewa na Miss Tanzania...
Mh Mbunge wa ubungo ongera kwa mkala wako wa Dawasco hatimae maji yametoka leo.Kumbe watu wanaogopa maandamano bila mkwala wako maji tuliyasikia mala 4 ya mgao wa umeme
Ndugu umepata kuisikiliza DVD hii ya hotuba za Dr w. Slaa.Ndg kama bado itafute upate ujumbe kupitia hotuba za Dr.Anaeleza juu ya mtanzania,haki za mtanzania,na nini serikali inatakiwa kufanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.