NAPENDA KUTOA MAELEZO MAFUPI KUHUSU HABARI ILIYOANDIKWA NA GAZETI LA TANZANIA DAIMA JANA:
Mimi Jackson Wilson Makala sijasimamishwa uanachama na Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) kama ilivyotaarifiwa na gazeti la Tanzania Daima.
Nimewasiliana na mhariri wa habari wa gazeti la Tanzania Daima...
SUALA SIO SHIBUDA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAISI
SOMENI HILI TAMKO LA BAVICHA VIZURI:
BAVICHA imepokea kwa mshituko mkubwa kauli ya ndugu Shibuda kuwa yeye atagombea Urais na Meneja wake wa Kampeni atakuwa Mwenyekiti wa CCM ndugu Jakaya Kikwete, na alitoa kauli hiyo kwenye kikao cha NEC ya...
Diwani wa kata ya Lugata Sengerema Bw. Adrian Chiziba amejiunga na CHADEMA rasmi. Hii ni katika mkutano wa hadhara unaofanyika Geita chana huu ukihutubiwa na Dr. Slaa na Godbless Lema.
Hii ya prezidaa part 1
s1930 j. M. Kikwete secondary school
div-i = 0 div-ii = 4 div-iii = 2 div-iv = 29 fld = 52
hii ya prezidaa part 2
s2008 jakaya kikwete secondary school
div-i = 0 div-ii = 1 div-iii = 5 div-iv = 48 fld = 76
hii ya festi lady
s3561 salma kikwete secondary school
div-i = 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.