mama mzazi kitu kingne, mama unamweleza tu ajitoe,inamana hajui ama haoni(anne maki) anafanywa njia?daraja?mwepesi? Wa kutumiwa na CCM kupitisha maslah ya chama na kuzuia hoja nzito z kifisadi. Mama angu ntamwambia ajitoe
KENYA -walipigana,wakabadili serkali kwa stail ya ndizi na chungwa, wakaunda serikali ya umoja, baadae wakabadili na katiba
WAGANDA-wakapigana,wengne waliingia mstuni,
zambia- fuatilia uone
RWANDA- sote tunajua waliuana
BURUNDI-n kama RWANDA TU
SUDAN wamepigana sana
MALAWI--wametuzidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.