si mlikuwa mlikuwa mnasema oo mafuriko oo tsunami oo garika kumbe watu wenu wengi ni wapiga debe! mabadiliko ya kweli yamefanywa na watu wa mwanza,simiyu,shinyanga,tabora kwa kutoa ukiwa
Toeni post za busara wengine mtabeba laana bure! ombeni kwa MUNGU ili tuchague kiongozi anayetufaa na si ushabiki kwani wote wanaohama kwenda ukawa hatujui kusudio lao la kuhama! cha kufanya ni kuombea uchaguzi. dunia hapa na watanzania hawa mwenye kiu ya kuwasaidia watu ni wachache sana! kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.