Njia rahisi ya kumfanya mwanaume astuke ni kubadilisha mwenendo wako.....we jifanye kama umebadilika na upo busy na mambo yako na hujali kuhusu mumeo Wala rafiki yake.....kiufupi punguza mapenz Kwa mumeo af uone atakavyochanganyikiwa
Hapana mkuu hiyo Hali itaisha yenyewe, jirani yangu Kuna mtoto alikua anaitwa hamidu mpaka miaka sita alikua hawez kuongea ila ukimtuma ana fanya kiufupi yupo kama ulivyomuelezea.....baadae akapona kabisa so hiyo n Hali tuu na inaisha
Mke anaanzaje kuondoka nyumban bila taarifa yako..na dadaake amekaa nae tuu mwezi mzima.huyo hakua kwa dadaake ila alivyoona umerudi ndo akapeleka funguo kwa dadaake
Naungana na mleta mada, asubuhi nilikua nawaza hili jambo nimeona watu wakiweka majani barabaranj hii haina afya kiusalama kwan watu wenye nia mbaya wanaweza kuweka vilipuzi sio kwaajili ya kumuua marehemu au msafara wake ila ili kuutia doa msiba wa mpendwa wetu. Who knows?
Kwakweli huu ni mtihani, ukipita Mbagala rangi tatu watu wameweka mbao juu ya mitaro ya maji machafu wanapika vitumbua kiasi kwamba watu wa usafi wanashindwa kusafisha ile mitaro matokeo yake mitaro yote imejaa maji machafu.
Pia hapo hapo Rangi tatu fremu za kuzunguka stendi ya magari ya Rufiji...
1.kuhusu maji kwa upande wangu ni hill,afya na dew drop kilimanjaro na hayo mengine hayana ubora
2.kuhusu soda mwaka huu pepsi kakimbiza mauzo mpk wakaamua kufanya patty kusherehekea mauzo ya juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.