Ndugu wajumbe wa JF,
Kwa wale wanaoendelea kufuatilia sakata la wizi wa fedha za umma nadhani tupieni jicho hapo Star tv mtamkuta Jacton Manyerere akiwa hewani muda huu wakijadili mwenendo wa Escrow.
Nawasilisha.
Jamani ee, niko njiani muda huu nakuja Arusha, hebu nielekezeni nyumba za wageni za kiwango cha wastani na mahala zilipo. Maelekezo yazingatie kua mimi ni mgeni katika huo mji.
Kila uchao jamii yetu imekua ikizidi kufanywa shamba la bibi kwa kulundikiwa mizigo ya kodi kila sehemu achilia mbali VAT, PAYE, Mikopo yenye masharti magumu, nk nk. Kibaya zaidi kodi hizo zimekua zikitumika kugharamia matibabu ya viongozi wetu nje ya nchi hata pasipo ulazima kinyume kabisa na...
Karibuni ndugu wajumbe wa jf, sina mengi isipokuwa nawapeleka moja kwa moja mjini dodoma kufuatilia shughuli za bunge.
Kwako Chabruma na wadau wengine mlioko dodoma
Wadau poleni na majukumu ya hapa na pale katika kupambana na maisha ili kuweza kujipatia kipato. Wakati taifa likiwa limeingia uhasama kati ya wanchi na majeshi ya ulinzi, zimenifikia taarifa kutoka Mwanza kua mwanamuziki wa nyimbo za kiswahili Tanzania bwana Godfrey Tumaini maarufu kama...
Wadau mambo vipi?
Kwa yeyote mwenye kujua naomba anielekeze kitaalam ipi bora kati ya antivirus hizi mbili maana nataka kuinstall katika computer yangu.
Asanteni.
Habari wana jf popote mlipo. Nipo maeneo ya hapa Iringa mjini, mda si mrefu nimekutana na askari polisi kikosi cha FFU wakizagaa mitaani usiku huu.
Mara ya kwanza nimewaona maeneo ya stendi kuu ya mabas sikustuka, mara ya pili nikakutana na wengine maeneo ya mashine 3 nikapata wasiwasi, mara...
Ndugu wana jf, sina maneno mengi ya kuwachosheni isipokua naomba msaada kwa yeyote mwenye kuweza kunisaidia Standing Order ya vyuo vikuu hapa nchini anisaidie. Asanteni na natarajia msaada wenu.
Ni yule mwalimu wa shule ya msingi digodigo wilaya ya Ngorongoro.
Hakika sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
Na yule muuaji hajakamatwa mpaka sasa.
Wakuu heshima zenu. Husikeni na kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni member ninayependa kujifunza kwa hiyo naomba yeyote mwenye kujua anieleze nini maana ya neno "arachuga" maana nimekua nikiona likitumika mara kwa mara humu jf.
Asanteni, nawasilisha.
Mwalimu mmoja wa shule ya msingi digodigo jana alikatwakatwa mapanga akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake.
Tukio hili limetokea jana majira ya saa 5 asubuhi ambapo mwalimu huyo wa kiume alivamiwa ghafla na kijana wa kimasai kisha kuanza kumshambulia kwa mapanga hadi kumfyeka mkono.
Chanzo...
Gazeti la jambo leo la tarehe 8 Juni 2012 limeandika "LOWASA ACHANGISHA BILIONI 421".
Ukifungua ukurasa unaofuata kwenye content utakuta wameandika hivyohivyo bilioni 421.
Lakini baadaye nimepitia magazeti mengine yote yanasema ni MILIONI 421. Kwa mantiki hii ninawasiwasi na elim ya mhariri wa...
Nawashukuru sana wana Arusha kwa kunipokea, kunikirim na kunitembeza sehemu mbalimbali. Mmeniwezesha kutalii wilaya 3 ambazo ni Longido, Monduli na Ngorongoro. Kweli nimefarijika sana kwa ziara ya siku kadhaa sasa niko njiani narejea Arusha mjini tokea Monduli ili nirudi zangu maskani. Natarajia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.